Mungu yupo kwa ajili yako

Usifadhaike moyoni pale unapokuwa katika matatizo au unapopitia changamoto katika maisha. Kumbuka kuwa Mungu yupo, anayaona hayo na anataka kukusaidia, ni wewe tuu kumpa nafasi ya kukusaidia. Hatumpi Mungu nafasi pale tunapozani tunaweza wenyewe.

50 thoughts on “Mungu yupo kwa ajili yako”

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Shopping Cart