Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Featured Image

Binti: Hallow mpenzi, Mambo





Jamaa: Poa baby





Binti:Uko wapi?





Jamaa: Niko town napata lunch





Binti: Wow unarudi saa ngap? Nina njaa dear naomba uniletee msosi





Jamaa: Narudi baada ya nusu saa nikuletee nini?





Binti: Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne ya kukaangwa pembeni, baga, piza, coke take away baridi, mkate wa moto kwenye ile bekari ya wapemba na maji ya kunywa ya kiimanjaro.





Jamaa:Umesahau viti, meza, masufuria, sahani na beseni na vijiko.





Binti: Kwanini dear?





Jamaa: Naona hutaki kula unataka kufungua hoteli!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Kawawa (Guest) on February 6, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Rehema (Guest) on February 1, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Mchome (Guest) on January 21, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Furaha (Guest) on January 12, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Josephine Nekesa (Guest) on January 4, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Masika (Guest) on January 3, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Joseph Kitine (Guest) on October 12, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Athumani (Guest) on September 29, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Kassim (Guest) on September 20, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Victor Mwalimu (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on September 6, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

John Kamande (Guest) on August 24, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Zakia (Guest) on August 20, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Betty Cheruiyot (Guest) on August 10, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Farida (Guest) on August 6, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Peter Mwambui (Guest) on August 3, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

James Kimani (Guest) on July 28, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Maida (Guest) on June 28, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Hekima (Guest) on June 28, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Elizabeth Mrope (Guest) on June 3, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on June 2, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Henry Mollel (Guest) on May 13, 2019

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Maimuna (Guest) on March 22, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Francis Mtangi (Guest) on March 18, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nora Lowassa (Guest) on February 28, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on February 23, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Alice Mwikali (Guest) on February 4, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on January 20, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on January 8, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on January 2, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on December 23, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on December 18, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jabir (Guest) on November 1, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mugendi (Guest) on October 27, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Bahati (Guest) on October 26, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on September 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on August 11, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ibrahim (Guest) on August 9, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Jamal (Guest) on July 14, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Masika (Guest) on July 8, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mwanakhamis (Guest) on May 12, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Lucy Mahiga (Guest) on April 16, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on April 6, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rahim (Guest) on April 6, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rabia (Guest) on March 26, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mwachumu (Guest) on March 10, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Linda Karimi (Guest) on March 8, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mwanaidha (Guest) on February 17, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

James Kawawa (Guest) on February 14, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on January 13, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

George Mallya (Guest) on January 7, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Mushi (Guest) on December 19, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Zakaria (Guest) on December 18, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Mwangi (Guest) on December 14, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on December 5, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ndoto (Guest) on December 1, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on November 20, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Edwin Ndambuki (Guest) on November 14, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on November 3, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Related Posts

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More