Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Featured Image
Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda kufungua mlango
Akamkuta jamaa kalewa sana mlangoni kwao
JAMAA: Nini tena mheshimiwa kuamshana saa hizi?
MLEVI: Naomba uje unisukume.
Jamaa akiamini kuwa pengine kuna gari la huyu mlevi limezima jirani akamwambia subiri nikavae viatu. Baada ya kuvaa viatu akatoka na wakaanza kusindikizana na mlevi. Mlevi akaongoza njia
mpaka kwenye mabembea ya jirani akakaa kwenye bembea moja na kumgeukia jamaa na kumwambia.. Okay nisukume basi.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Director J (User) on April 17, 2025

Daaah! Huyu mlevi msenge kwelii kweli 🀣🀣😁

SHAYU (User) on February 16, 2025

du!Β‘ kipig kinamuhusu kutoa pombe iy

Peter Tibaijuka (Guest) on July 20, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on July 18, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

David Chacha (Guest) on June 14, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Linda Karimi (Guest) on June 12, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Ruth Kibona (Guest) on June 5, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on June 4, 2024

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Zubeida (Guest) on May 23, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on May 9, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on April 30, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mwanaidi (Guest) on April 19, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Michael Mboya (Guest) on April 7, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

John Malisa (Guest) on March 31, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mrope (Guest) on March 28, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Catherine Mkumbo (Guest) on March 23, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Abubakari (Guest) on March 9, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mercy Atieno (Guest) on March 4, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Faiza (Guest) on March 4, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on January 20, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mushi (Guest) on January 9, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on November 16, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on October 29, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on October 26, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on September 30, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on September 27, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Rose Lowassa (Guest) on September 12, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Bahati (Guest) on August 29, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lydia Mahiga (Guest) on August 3, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on August 2, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Grace Majaliwa (Guest) on July 20, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Grace Njuguna (Guest) on July 15, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on June 22, 2023

Asante Ackyshine

Martin Otieno (Guest) on June 21, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Catherine Mkumbo (Guest) on June 5, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 26, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Nassor (Guest) on May 15, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on April 23, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Janet Mwikali (Guest) on April 7, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 17, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Hawa (Guest) on March 5, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rehema (Guest) on February 25, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Susan Wangari (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Wilson Ombati (Guest) on February 11, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Nancy Komba (Guest) on January 23, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Patrick Akech (Guest) on January 20, 2023

🀣πŸ”₯😊

Simon Kiprono (Guest) on December 27, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on December 25, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on December 9, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sharon Kibiru (Guest) on November 18, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on November 11, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Linda Karimi (Guest) on November 7, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Binti (Guest) on October 22, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 24, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on September 24, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on September 14, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on September 6, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Bernard Oduor (Guest) on August 30, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on August 23, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Rose Lowassa (Guest) on August 3, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Related Posts

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More