Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Featured Image

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanamke tulikuwa tumeminyana ndani ya daladala
MKE: Na lipstiki kwenye shati?
MUME: Tulikumbatiana na wageni toka Zambia walitembelea ofisi yetu
MKE: Na ile kondom iliyotumika kwenye mfuko wa suruali?
MUME: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi
MKE: Lazima niulize mie huwa nahakikisha nimeacha kila kitu hukohuko ndio narudi nyumbani
MUME: Umesema nini wewe?
MKE: Bwana ee acha maswali ya kijinga mi nalala nina usingizi. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Mahiga (Guest) on July 12, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Simon Kiprono (Guest) on July 6, 2024

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Miriam Mchome (Guest) on June 24, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Grace Minja (Guest) on May 14, 2024

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mercy Atieno (Guest) on May 12, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Neema (Guest) on April 16, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Kassim (Guest) on March 27, 2024

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Leila (Guest) on March 14, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Nancy Akumu (Guest) on March 3, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 27, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Charles Mchome (Guest) on February 19, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Simon Kiprono (Guest) on February 3, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Ann Wambui (Guest) on January 15, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Victor Kimario (Guest) on December 27, 2023

Asante Ackyshine

Grace Mligo (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Sarafina (Guest) on November 22, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on November 13, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Salma (Guest) on November 4, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on October 28, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Alex Nyamweya (Guest) on October 21, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Stephen Kikwete (Guest) on September 29, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Shamsa (Guest) on September 26, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Mahiga (Guest) on September 6, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Charles Mboje (Guest) on August 31, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Frank Macha (Guest) on August 25, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on August 21, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on August 17, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on July 6, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on June 22, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on June 10, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on May 27, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on May 23, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on May 16, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on April 29, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on March 2, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on February 20, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Victor Malima (Guest) on December 19, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on November 4, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rahma (Guest) on October 23, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rabia (Guest) on October 20, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

George Tenga (Guest) on October 8, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Stephen Kikwete (Guest) on September 21, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hassan (Guest) on September 16, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Moses Mwita (Guest) on August 11, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on August 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on June 26, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on June 18, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Khamis (Guest) on June 12, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Mwambui (Guest) on May 20, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

James Mduma (Guest) on May 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Saidi (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Patrick Mutua (Guest) on March 9, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Brian Karanja (Guest) on March 5, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on January 8, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jane Muthui (Guest) on December 29, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mary Sokoine (Guest) on November 20, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Victor Mwalimu (Guest) on November 11, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Margaret Anyango (Guest) on October 29, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Halimah (Guest) on October 23, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Related Posts

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More