Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tabia za wachepukaji

Featured Image

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na sending items hufutwa kila
wakati.
3.Ukimuomba simu yake ghafla lazima
akwambie hebu
kwanza…….
4. Kamwe haiiti always vaibration.
5. Namba nyingi ha save.
6. Kuna simu hapokei hata
iweje….anapenda sms zaidi
7.Majina mengi kwenye simu yameseviwa
kwa majina ya
kufikirika.
8.Muda mwingi ni mtu wakujihami.
9.Anapenda password na anabadili mara
kwa mara.
10.Akiazima simu yako, akitumia tu
anafuta dial no
haraka.
11.Always yuko na simu…..hadi bafuni
ikibidi.
12. Anajazba ukimuuliza chochote kuhusu
simu….anajishtukia.
13. Akiwa anachati anakuangalia mara kwa
mara
kiwiziwizi
14. Hana jeuri ya kukuweka profile picture
na akikuweka
humalizi masaa anakudampu huko
Hapa kuna ukweli asilimia millioni moja
kabisa
Share na washikaji zako😜😜😜😜😜

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ann Awino (Guest) on June 30, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on June 27, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Betty Kimaro (Guest) on June 18, 2024

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on May 25, 2024

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Violet Mumo (Guest) on May 25, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on May 15, 2024

πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on April 12, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Azima (Guest) on April 6, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on March 21, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Janet Sumari (Guest) on February 28, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on February 12, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on February 8, 2024

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on January 16, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

James Kimani (Guest) on December 27, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

James Kawawa (Guest) on December 25, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Emily Chepngeno (Guest) on December 2, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Alice Jebet (Guest) on November 25, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Mushi (Guest) on November 19, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Joseph Kawawa (Guest) on October 31, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on September 4, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on August 29, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on August 18, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Ann Awino (Guest) on August 5, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

James Malima (Guest) on August 5, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Maneno (Guest) on July 21, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Kenneth Murithi (Guest) on July 9, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on July 6, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Martin Otieno (Guest) on July 5, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on June 21, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanaidha (Guest) on June 15, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Amollo (Guest) on May 29, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Fadhili (Guest) on May 19, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Patrick Mutua (Guest) on May 12, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwanais (Guest) on May 7, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Lucy Mushi (Guest) on May 4, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Janet Sumaye (Guest) on April 12, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on April 8, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Maida (Guest) on March 14, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Mariam Kawawa (Guest) on March 6, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 20, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on February 11, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Esther Nyambura (Guest) on January 29, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on January 28, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on January 2, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Kijakazi (Guest) on December 26, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rahma (Guest) on November 6, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Betty Kimaro (Guest) on September 22, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Maida (Guest) on September 19, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

John Mwangi (Guest) on August 25, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Charles Mrope (Guest) on August 12, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Lydia Mahiga (Guest) on July 31, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Violet Mumo (Guest) on July 17, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

John Lissu (Guest) on June 23, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine (Guest) on June 21, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

John Mushi (Guest) on June 21, 2022

🀣πŸ”₯😊

George Wanjala (Guest) on May 27, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Samson Mahiga (Guest) on May 13, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Benjamin Kibicho (Guest) on March 15, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Related Posts

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More