Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.

3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.

4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.

5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.

6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.

7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.

8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.

9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.

10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.

11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick

12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi

13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani

14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.

15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.

16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.

17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.

18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Fatuma (Guest) on September 30, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Alice Jebet (Guest) on September 26, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Chiku (Guest) on September 16, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Khadija (Guest) on September 12, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Josephine Nduta (Guest) on September 7, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on August 31, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Edith Cherotich (Guest) on August 28, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Josephine Nduta (Guest) on August 26, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mwajabu (Guest) on August 20, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Mwinuka (Guest) on August 12, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on July 9, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Yusuf (Guest) on June 30, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Moses Kipkemboi (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

David Sokoine (Guest) on June 5, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lucy Wangui (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Jane Muthui (Guest) on March 25, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Nora Kidata (Guest) on March 1, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on February 22, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Zulekha (Guest) on January 7, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Mchome (Guest) on November 13, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Peter Mbise (Guest) on October 31, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on October 20, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Issack (Guest) on October 15, 2017

Asante Ackyshine

Husna (Guest) on September 21, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Daniel Obura (Guest) on September 20, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Victor Kimario (Guest) on August 18, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Mrope (Guest) on August 17, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mustafa (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nora Lowassa (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nancy Komba (Guest) on August 4, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Susan Wangari (Guest) on July 27, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Omari (Guest) on July 19, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Josephine Nduta (Guest) on July 19, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on July 10, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on July 4, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on June 16, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on June 9, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on June 1, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

James Mduma (Guest) on May 24, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on May 5, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on May 3, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Rose Kiwanga (Guest) on April 14, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on April 13, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on April 11, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Brian Karanja (Guest) on March 15, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on February 26, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on February 13, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Benjamin Masanja (Guest) on February 12, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Rose Amukowa (Guest) on February 6, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on January 31, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Esther Cheruiyot (Guest) on January 12, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on December 15, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on December 4, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Rehema (Guest) on October 20, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Alex Nakitare (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 17, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Mercy Atieno (Guest) on September 4, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Moses Mwita (Guest) on September 2, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Lydia Mahiga (Guest) on August 28, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More