Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Featured Image

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya siku mbili nikapata pesa zaidi ya laki nne hivi, nikaamua kumpa 100,000/= mpenzi wangu bila yeye kuniomba.
Baada ya siku 3 akaja kuniambia:- "Bae, ile 10,000/- niliyokuazima mwenyewe amekuja kunidai, so kama unayo naomba unipe nimrudishie maana ananisumbua leo siku ya 3."
SAA HIZI NIPO ZANGU SINGLE NATAFUTA DEM MWINGINE

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

shayumastersr (User) on April 26, 2025

hahahaha madem bwana!!

Director J (User) on April 17, 2025

Daah! Live Bora nibaki single tu 🀣🀣

shayumastersr (User) on April 26, 2025

uakika

Samuel Omondi (Guest) on July 14, 2024

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Fikiri (Guest) on June 28, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

David Kawawa (Guest) on May 23, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on May 17, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Paul Kamau (Guest) on May 8, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mwagonda (Guest) on April 25, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Raphael Okoth (Guest) on April 25, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Wande (Guest) on April 11, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Alex Nyamweya (Guest) on March 13, 2024

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on March 2, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on January 28, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Anna Kibwana (Guest) on January 13, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Andrew Mahiga (Guest) on December 15, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Joy Wacera (Guest) on December 14, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Amina (Guest) on December 6, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joy Wacera (Guest) on October 29, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on August 31, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on August 30, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on August 13, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nashon (Guest) on August 8, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwagonda (Guest) on July 22, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Daniel Obura (Guest) on June 28, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Joyce Nkya (Guest) on June 22, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on June 3, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mwanaisha (Guest) on May 19, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on April 7, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on March 31, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

David Kawawa (Guest) on February 9, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on February 4, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Thomas Mtaki (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mchawi (Guest) on December 12, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Omari (Guest) on December 6, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on November 19, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Chiku (Guest) on November 14, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Charles Wafula (Guest) on October 8, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Victor Kamau (Guest) on October 6, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Sharon Kibiru (Guest) on September 20, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mwambui (Guest) on September 15, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Nyota (Guest) on September 9, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Edward Lowassa (Guest) on August 13, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Janet Wambura (Guest) on July 26, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Faith Kariuki (Guest) on July 5, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on July 4, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on July 3, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Mahiga (Guest) on July 3, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on July 3, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

John Mwangi (Guest) on June 23, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on June 23, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on June 4, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Patrick Kidata (Guest) on May 8, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on May 1, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on April 2, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Yusuf (Guest) on March 31, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Emily Chepngeno (Guest) on March 30, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Christopher Oloo (Guest) on March 24, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Amani (Guest) on February 28, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Grace Wairimu (Guest) on January 27, 2022

πŸ˜† Kali sana!

Related Posts

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Cheki huyu mtoto anachomjibu mwalimu wake, kufundisha watoto ni kazi kweli kweli

Mwanafunzi wa darasa la 2 kaulizwa na mwalimu wake

Hivi:je ukipewa maandazi 5 ukiambiwa ... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More