Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Featured Image

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.
(2) Mwenda pole?………… Tachelewa fika.
(3) Usipoziba ufa ?……….. Mizi taona mpaka dani.
(4) Usilolijua ?……………… Uliza google.
(5) Mbio za utelezini ?……. Chafua guo yako.
(6) Ukipenda boga ?……… Ngoja mezi ya ramzani tapata.
(7) Ukiona vinaelea ?…….. iko nyepesi hiyo.
(8) Maji yakimwagika ?…… Mambie dada tapiga deki.
(9) Chelewa chelewa ?……… Takosa guo ya sikukuu…
(10) Kila ndege ?………….. …Hutua Airport
(11) Bandu bandu ?….. …….Rafiki yake Jecha
(12) Mtaka cha Mvunguni ?… Ondoa tanda
(13) Simba mwenda kimya?….Kama sio gonjwa basi haina njaa.
(14) Aisifuye mvua ?………. Najua iko Mkulima hiyo
(15) Barabara ndefu ?…….. Ongeza mwendo au tachelewa fika.
(16) Mlanawe hafi nawe ila?…. Takimbia
(17) Asie sikia la mkuu ? …….. Tapeleka jela
(18) Hasira za mkizi ? …………..Tatafuna veve
(19) Mchamba wima ?…….. Karibu ya Hurumzi
(20) Akumurikae mchana ?….Kipofu hiyo
(21) Mficha maradhi ?…….. Taenda Loliondo
(22) Mkataa wingi ? ……….Taenda Chadema
(23) Bendera ?……………. Kama sio ya CCM, ya CUF
(24) Baniani mbaya ?……. Peleka Bombay Lakini sio HB kweli, naonea tu
(25) Akili nyingi ?………. Tapasi mtihani yote
(26) Penye kuku wengi ? …….. Chija bili tatu ivi, hapana mtu najua.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Malela (Guest) on July 22, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Peter Mugendi (Guest) on June 16, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 30, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mohamed (Guest) on May 7, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Joseph Kiwanga (Guest) on May 2, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 25, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Moses Mwita (Guest) on March 25, 2024

πŸ˜‚πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on March 14, 2024

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Richard Mulwa (Guest) on February 21, 2024

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Hassan (Guest) on February 11, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 4, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mchuma (Guest) on January 23, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Elizabeth Mrema (Guest) on January 20, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

John Lissu (Guest) on January 12, 2024

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sumaya (Guest) on December 22, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jaffar (Guest) on December 9, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Monica Lissu (Guest) on December 7, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nora Kidata (Guest) on November 17, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Kassim (Guest) on November 16, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Benjamin Kibicho (Guest) on October 19, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Habiba (Guest) on October 17, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on June 7, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on June 5, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Monica Nyalandu (Guest) on May 16, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Jaffar (Guest) on April 28, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Agnes Njeri (Guest) on April 27, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on April 27, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Khamis (Guest) on April 14, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Raphael Okoth (Guest) on April 2, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mjaka (Guest) on March 27, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on March 22, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ann Wambui (Guest) on February 28, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on February 12, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on February 9, 2023

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on February 9, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mtumwa (Guest) on February 4, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Nancy Kabura (Guest) on January 14, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Nchi (Guest) on January 2, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Sekela (Guest) on December 23, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Alex Nyamweya (Guest) on December 13, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on December 2, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on November 24, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Sharon Kibiru (Guest) on November 8, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abdillah (Guest) on November 6, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Abdullah (Guest) on November 5, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Josephine Nekesa (Guest) on November 4, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on October 12, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Anna Kibwana (Guest) on October 10, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

John Lissu (Guest) on September 8, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Bernard Oduor (Guest) on September 4, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on August 1, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Kibona (Guest) on June 25, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Sokoine (Guest) on June 20, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Paul Ndomba (Guest) on June 12, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on June 10, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Warda (Guest) on June 2, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Patrick Mutua (Guest) on May 31, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Hashim (Guest) on May 16, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Andrew Odhiambo (Guest) on May 3, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More