Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Featured Image

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari mlinzi,anaondoka.Hilo jambo likamkera sana askari mlinzi, askari akawa na mvizia yule mzee wa kichaga ,siku alipokuja tena akamkamata, akamuuliza kwa nini unakuja unapiga honi kisha unakimbia? Mzee akasema: Haki ya mungu babaangu , Nina pesa zangu ktk account hapa bank naogopa usilale usingizi ndo maana kila siku usiku napita kukuangalia kama umelala!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Francis Njeru (Guest) on July 14, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Wanyama (Guest) on July 12, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on June 22, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on June 21, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sekela (Guest) on May 29, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Linda Karimi (Guest) on May 14, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Wande (Guest) on May 3, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Victor Mwalimu (Guest) on April 29, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Stephen Amollo (Guest) on March 25, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Rahma (Guest) on February 18, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on January 30, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on January 11, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Mbise (Guest) on January 6, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on December 8, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on December 3, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Raha (Guest) on December 1, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Margaret Mahiga (Guest) on November 20, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on November 11, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

David Sokoine (Guest) on October 25, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Anna Malela (Guest) on October 11, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Abdullah (Guest) on September 21, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Brian Karanja (Guest) on September 15, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

James Mduma (Guest) on September 12, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on August 22, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Sarah Mbise (Guest) on August 15, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Malela (Guest) on August 12, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Juma (Guest) on August 9, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Samuel Omondi (Guest) on August 6, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Patrick Kidata (Guest) on July 22, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Mwikali (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Peter Tibaijuka (Guest) on June 24, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Grace Minja (Guest) on June 11, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Lucy Kimotho (Guest) on April 26, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on April 5, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Abubakar (Guest) on March 25, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Jane Muthoni (Guest) on March 23, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Brian Karanja (Guest) on February 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on January 29, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Moses Mwita (Guest) on January 24, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Kamande (Guest) on January 15, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on January 4, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on December 20, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Makame (Guest) on November 24, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on October 18, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on September 22, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on August 27, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on August 20, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on July 13, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Victor Mwalimu (Guest) on July 9, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Tambwe (Guest) on July 3, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Fadhili (Guest) on June 23, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Patrick Akech (Guest) on June 23, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Samuel Omondi (Guest) on June 17, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Robert Ndunguru (Guest) on June 6, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Ann Awino (Guest) on June 2, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maneno (Guest) on May 14, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Jane Malecela (Guest) on May 5, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwagonda (Guest) on April 12, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Stephen Amollo (Guest) on March 17, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on February 24, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More