Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Featured Image

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku

JAMAA:"msipate tabu mi ntalala hapa kwenye kochi" akalala
asubh wanakunywa chai akaibuka mrembo,jamaa akapigwa bumbuwazi almanusra ajimwagie chai.
BINTI:"Naitwa BEBI,we unaitwa nani?"
Jamaa akasema mimi naitwa Fara…..!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Diana Mumbua (Guest) on March 3, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Nora Lowassa (Guest) on January 30, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lucy Kimotho (Guest) on December 26, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mchawi (Guest) on November 22, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Bakari (Guest) on October 31, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Ann Awino (Guest) on October 7, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on August 21, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Nancy Kawawa (Guest) on July 22, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on June 17, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on June 5, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Bahati (Guest) on June 4, 2021

Asante Ackyshine

Janet Sumari (Guest) on May 19, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Victor Sokoine (Guest) on April 30, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on April 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Mtumwa (Guest) on April 17, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Samuel Were (Guest) on March 26, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Minja (Guest) on March 23, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Francis Njeru (Guest) on March 15, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Hamida (Guest) on March 15, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Janet Mbithe (Guest) on December 22, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on December 18, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Catherine Mkumbo (Guest) on December 4, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Wambura (Guest) on November 27, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on November 22, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Musyoka (Guest) on November 9, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Michael Onyango (Guest) on November 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on October 19, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Ochieng (Guest) on October 10, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on September 17, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Mwanakhamis (Guest) on September 6, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Kawawa (Guest) on August 23, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on August 19, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Esther Nyambura (Guest) on August 11, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on July 29, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Josephine Nduta (Guest) on July 14, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on July 9, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on July 1, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

George Tenga (Guest) on June 21, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Mary Njeri (Guest) on June 19, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 31, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on February 10, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on January 31, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on January 20, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nassar (Guest) on January 7, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Edward Chepkoech (Guest) on December 28, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Samuel Omondi (Guest) on December 15, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanakhamis (Guest) on November 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Esther Nyambura (Guest) on November 14, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on September 21, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on September 7, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Zakaria (Guest) on September 3, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Kijakazi (Guest) on August 22, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

Margaret Anyango (Guest) on August 11, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on July 27, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Moses Mwita (Guest) on July 20, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Monica Adhiambo (Guest) on July 17, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on July 6, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Josephine (Guest) on June 15, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rose Kiwanga (Guest) on June 4, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Nyerere (Guest) on May 18, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Related Posts

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More