Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. Chezeya mchaga!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Shamsa (Guest) on July 1, 2024

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Margaret Mahiga (Guest) on June 28, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Faiza (Guest) on June 24, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

John Mwangi (Guest) on June 21, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Simon Kiprono (Guest) on June 16, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Mbithe (Guest) on May 30, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Guest (Guest) on January 6, 2026

0745590486

Rose Mwinuka (Guest) on May 16, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

John Mushi (Guest) on May 16, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on April 27, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Mushi (Guest) on April 22, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mtumwa (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Edith Cherotich (Guest) on March 28, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Zainab (Guest) on February 28, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Faith Kariuki (Guest) on February 4, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on January 29, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Kazija (Guest) on January 18, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Abubakari (Guest) on January 14, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Patrick Kidata (Guest) on January 11, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on December 21, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on December 12, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Henry Sokoine (Guest) on November 25, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on November 15, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on November 7, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on November 6, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mchawi (Guest) on November 2, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on October 16, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on October 11, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Emily Chepngeno (Guest) on October 7, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

David Sokoine (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mariam (Guest) on July 24, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Farida (Guest) on July 20, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

John Mwangi (Guest) on July 17, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zawadi (Guest) on July 5, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Hawa (Guest) on June 22, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Mchome (Guest) on May 29, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on May 25, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

David Chacha (Guest) on April 18, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on April 15, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on January 18, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Leila (Guest) on December 20, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Victor Sokoine (Guest) on November 18, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on November 7, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on October 5, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Paul Ndomba (Guest) on September 9, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on September 5, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ali (Guest) on September 3, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Brian Karanja (Guest) on August 29, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Fredrick Mutiso (Guest) on July 31, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Rahma (Guest) on July 15, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Mwafirika (Guest) on July 8, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Grace Njuguna (Guest) on July 7, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on July 4, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Hawa (Guest) on July 1, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Benjamin Masanja (Guest) on June 26, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Emily Chepngeno (Guest) on May 29, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mwanahawa (Guest) on May 16, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 19, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Related Posts

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More