Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Featured Image

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwauliza ni wangapi wanawapenda waume zao? Wote wakanyoosha mikono kama ishara ya kuwa wanawapenda waume zao.
Mwalimu akauliza tena, β€œNi lini mara ya mwisho umemwambia mumeo β€œNakupenda Mpenzi”?

Majibu yalikuwa kama ifuatavyo:
Wengine wakisema Asubuhi ya leo,
Wengine jana,
Wengine wiki iliyopita
Wengine mwezi uliopita
Na wengine wakasema hawakumbuki!
Mwalimu aliwapa kazi kila mwanasemina achukue simu yake na kumtumia mume wake meseji yenye neno β€œNAKUPENDA MPENZI”
Baada ya meseji kwenda aliwaamuru kubadilishana simu kila mtu na jirani yake.
Kila mwanasemina aliambiwa kusoma meseji za majibu kwenye simu aliyoshika

Simu ya 1 – β€œSamahani, nani mwenzangu”!
Simu ya 2 – β€œSamahani, wrong number”!
Simu ya 3 – β€œSi nimekuambia usinitumie messages kwenye namba hii”!
Simu ya 4 – β€œMh! leo mvua itanyesha”!
Simu ya 5 – β€œNikija tutaongea zaidi”!
Simu ya 6 – β€œβ€¦β€¦Imedhibitishwa umepokea Tsh300,000 kutoka kwa ……”!
Simu ya 7 – β€œMe too”!
Simu ya 6 – β€œHuu ujumbe ndio ulikuwa unamtumia huyo hawara yako ee, leo utanikoma”!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mercy Atieno (Guest) on July 18, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Brian Karanja (Guest) on June 20, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on June 6, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on June 2, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on April 1, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Aziza (Guest) on March 13, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Philip Nyaga (Guest) on February 18, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on February 3, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Victor Sokoine (Guest) on January 24, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on January 14, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Mwangi (Guest) on January 11, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nancy Komba (Guest) on January 6, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 24, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Guest (Guest) on December 24, 2025

Au sio!

George Wanjala (Guest) on December 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on November 28, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Diana Mumbua (Guest) on November 23, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mashaka (Guest) on November 11, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Josephine Nduta (Guest) on October 21, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on October 16, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on October 12, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Ali (Guest) on September 26, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Faith Kariuki (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 14, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on August 28, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on August 24, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Victor Sokoine (Guest) on July 20, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Shabani (Guest) on July 13, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joseph Kawawa (Guest) on June 9, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Joseph Mallya (Guest) on May 24, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Rabia (Guest) on May 3, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Miriam Mchome (Guest) on April 16, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on April 13, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Yusra (Guest) on April 13, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Esther Nyambura (Guest) on April 7, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Hamida (Guest) on March 23, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Alice Mwikali (Guest) on March 14, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on March 11, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on March 8, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

George Mallya (Guest) on March 5, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Edith Cherotich (Guest) on February 13, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on February 3, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Victor Mwalimu (Guest) on January 29, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

David Musyoka (Guest) on January 21, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Joyce Mussa (Guest) on January 4, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on December 28, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mariam Hassan (Guest) on December 27, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on December 25, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jamila (Guest) on November 23, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Mallya (Guest) on November 11, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Sofia (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Mgeni (Guest) on October 5, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Maimuna (Guest) on September 29, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Aoko (Guest) on September 20, 2022

😊🀣πŸ”₯

Samuel Were (Guest) on September 13, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Stephen Mushi (Guest) on August 30, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on August 24, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on August 17, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on August 13, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on August 4, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Related Posts

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More