Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hii ndiyo bongo sasa!!

Featured Image

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya.

MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi….kabinti akazunguka yard yote mwisho akachagua Verrosa metallic .

BINTI: Mi naitaka hii

MZEE: Hakuna tatizo kabisaaa, mtoto mzuri kama wewe lazima upate gari uloichagua mwenyewe. Mzee akatoa kitabu cha cheki na kuandika palepale na kumpa mwenye yard

MUUZAJI: Sasa Mzee kwa kuwa umetoa cheki, gari utakuja chukua Jumatatu tukishahakikisha kuwa Account yako ina pesa benki. Naomba namba yako ya simu Mzee

MZEE: Hakuna tatizo (akampa namba). Haya twende zetu sweetie Jumatatu tunakuja wote kuchukua gari lako…

Siku ya Jumatatu mwenye yard kampigia simu Mzee.

MUUZAJI: We Mzee kavu sana, akaunti yako haina hata senti tano.

MZEE: Hilo nilijua, lakini wiki endi yangu ilikuwa tamu sana.

πŸ’¦πŸ˜†πŸ’¦

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kiwanga (Guest) on July 19, 2024

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Guest (Guest) on January 16, 2026

jamani wadau naomba mtazamowenu
ivi nikwani ndo zausiku zinapenda kuishia pazuri utafikiri vipande vyamaigizo yani kama jana nimeota nimemsimamisha mtoto mkali kichizi dem wakishua nikamuomba namba hakuwa m'bishi akanzaa kutaja namba imefika 071568 nikashtuka ndotoni vimenikela sana hata busu sijapiga
ABU_MAHEMBE_BYMEGUD LIFE

Guest (Guest) on December 30, 2025

Noma sana

Guest (Guest) on December 8, 2025

kama bibi herufi zote zinafanana kwanini nababu asiitwe bubu

Guest (Guest) on December 7, 2025

sikia mistar hii?
siwanajita bata zari sasa mi nikuku asari ukiona kobe kainama ujue anatunga mistari
toka kitambo maisha yaleri yani hari sio shwari
yani mambo nimagum shule bila daftar
kunawengine wakokaribu sisi bado tukombar
maisha bwana yanachanganya nibalaa utakuta mtu anahela saf konekshen zake kilasiku yukobaa lakin bado haitosh anamkufuru jaa ety anahari ngum daa
nahuku anamajumba makar magari yakifahari naanasahu kuwa kunawatu hawalali ndani wanachumia tumbo hawana ata makazi kweli maisha fumbo mungu ampa amtakae labda iwe gwalide tubadilishane zamu mateso tunayopitia watoto wakimasikini hata mtu mzima tajiri hawezi kuhimiri desh. desh. desh....
onyo usicopy bila ridhaa yangu nicheki 0681305278

Guest (Guest) on December 6, 2025

habari. mTanzania.
naitwa abu nitajiri. waupendo nimaskini. wachuki.
uhari gani ndugu
kwaware wote nirio wakosea napenda kuomba radhi kwamana tunaenda kuuvua mwaka 2025 nakuuvaa mwaka 2026 hivyo yamwaka 2025 yaache nauyavae yamwaka 2026 hivy ndugu kama kunamtu mliwahi kukwazana mtumie ujumbe huu katika safar yamaisha yako jaribu kufanya mabadiliko kwakila hatua unayo jongea mana chuki niadui wamaendeleo utapoleta mambo mabaya yamwaka 2025 kwenyemwaka 2026 itakuwa haina mana yamwaka mpya
waombe radhi wote wanao kuchukia kwabaraka za mwaka 2026
nawale uwapendao kama namimi nimo nijibu yes. hapa 0681305278 kira atakae kubariki abarikiwe nakila atakae kuraani nae araniwe
:
ujumbe hu nimeuwanika tarehe 6/12/2025 hasante

Guest (Guest) on December 5, 2025

ABU MAHEMBE muziki kibao kinaitwa WABAYA skia ..
kimwana napambana iwe usiku iwe mchana
walimwengu kwawaganga kwangu mikosi nanyingi lana nikipi nilichowakosea mi nakumbuka
mamalisema mwanangu kuwa utayaona ndohaya najionea nababa nae
akakoleeza. nenda zako ukitenda wema walimwengu hatuna jema siwana taka niteketeza walimwengu nilegezee!!
kwel asiefunza namama hawa walimwengu darasa walah tena wanakondesha !! waneza
ficha ukweli uliowazi wakafichuwa uwongo ulojificha walimwengu kamera utapigwa picha kuwa nao makini hilo nakupa hutoweza wote kuwalizisha waliwalizishe wachache utaoweza kumbuka binadam hapendwi nawote ..? mistar haijaisha
0681305278 bres mi

Guest (Guest) on December 5, 2025

ABU MAHEMBE muziki kibao kinaitwa WABAYA skia ..
kimwana napambana iwe usiku iwe mchana
walimwengu kwawaganga kwangu mikosi nanyingi lana nikipi nilichowakosea mi nakumbuka
mamalisema mwanangu kuwa utayaona ndohaya najionea nababa nae
akakoleeza. nenda zako ukitenda wema walimwengu hatuna jema siwana taka niteketeza walimwengu nilegezee!!
kwel asiefunza namama hawa walimwengu darasa walah tena wanakondesha !! waneza
ficha ukweli uliowazi wakafichuwa uwongo ulojificha walimwengu kamera utapigwa picha kuwa nao makini hilo nakupa hutoweza wote kuwalizisha waliwalizishe wachache utaoweza kumbuka binadam hapendwi nawote ..? mistar haijaisha
0681305278 bres mi

Guest (Guest) on December 30, 2025

Oy kaka unakipaji sana.

Guest (Guest) on December 5, 2025

ABU MAHEMBE muziki kibao kinaitwa WABAYA skia ..
kimwana napambana iwe usiku iwe mchana
walimwengu kwawaganga kwangu mikosi nanyingi lana nikipi nilichowakosea mi nakumbuka
mamalisema mwanangu kuwa utayaona ndohaya najionea nababa nae
akakoleeza. nenda zako ukitenda wema walimwengu hatuna jema siwana taka niteketeza walimwengu nilegezee!!
kwel asiefunza namama hawa walimwengu darasa walah tena wanakondesha !! waneza
ficha ukweli uliowazi wakafichuwa uwongo ulojificha walimwengu kamera utapigwa picha kuwa nao makini hilo nakupa hutoweza wote kuwalizisha waliwalizishe wachache utaoweza kumbuka binadam hapendwi nawote ..? mistar haijaisha
0681305278 bres mi

Guest (Guest) on December 5, 2025

"TANGAZO
"TANGAZO
mimi nikiwa kama rais wamyoyo napenda kuwatangazia kuwa kwanzi leo moyo umestafu kazi nanafasi hiyo ataishika figo samahani sana kwausumbufu utakao jitokeza najuwa ningum kumwambia mpenz wako
figo langu limetokea kukupenda ila mtazea2 moyo umeteseka sana
kila ki2 moyo
ila inatosha ninzam yafigo

Guest (Guest) on December 5, 2025

sikia mashaili aya kipaji kipo muziki
ilikuwa mida yasasaba mchanaa!! nimejipumnzisha mama akanituma
niende sokon kununua nyama m
maisha yanyumbani! nimagu bwanaa mm nilipata mshituko nilivosikia nyama wakati nikoo njiani.. naelekea sokoni nanuka umasikini kwambele nikaona pochi nikatazama huku nahuku. sikuona mtu nikaanza kutembea nikienda mbele ili nikaiyokote nilivo ikagua noti noti ndo zimejamule nikahairisha nyama nikaenda nunua gar michele maunga mambo yote shwari nkapg nguo nzur nayangu miwani nikamwita bodigadi nadereva wagar wafanye kazi yao wanipeleke nyumbani ire kufika nyumbani dereva akapg honi nika shuka kwamaringo huku nikitabasam natembea kama m.bunge nyumangu bodigadi mara nikasikia abu amka ule ire kuche niugari namrenda mrendaa yani kumbe yote ilikuwa NDOTO NDOTOO NDOTO
daa ira ndoto apa ndo naamka usingizini 0681305278

Guest (Guest) on December 5, 2025

muziki singer soma mistar hii sikia
oo baba oo mama simama ngangar dunia yasasa so yazamani usipojibeba unategemea akubebe nani sawa umekosa ajira sasa lawama upeleke kwanani majaribu yamungu hayana mipaka iro tia kichwani binadam mwenzako hawezi pangua alichopanga manani unachofer binadam hauna imani usiposhika lamungu binadam atakupa nini acha tusote tumemsahau mungu jamani duniani tumefata pesa ukijiuliza haiingii kichwani. tumesahau kusudio tumesahau matalajio
endelea kumtegemea binadam mwenzako havitaisha ivyo vilio fanya kazi apa nimwendo wakujituma umekaa ndan ety ajira hakuna siiunaza hata madazi msikie ety anaguna oya usichague kazi maisha nisafar usikubar kusimama ndoto zitaishia njiani umezaliwa kupambana utapofeli mitihani nani wakumtupia lawama kuwa makini namaisha kwani maisha nidarasa utapoferi mitihani utabaki humwo humwo 0681305278
sapot jamani kipaji kipo ety

Guest (Guest) on December 5, 2025

USIMFUKUZE KUKU HARUSINI NYOTE MMEFATA WARI !!

Guest (Guest) on December 5, 2025

UTAKUTA KUNARIMTU RINASURA MBAYA HADI RIKIJICHEKI KWENYEKIYOO RINAJIOGOPA
ha ha ha !!^_^

Guest (Guest) on December 4, 2025

:LOVE end x
1.UPENDO wangu kwako ulikuwa kama bahali sijui umewezaje kukauka
2.upendo wangu kwako ulikuwa kama chakula sijui taishije bila kula
3.we ndoulikuwa dereva walangu gari umeondoka tapata ajari
nikosagani lisilosameheka kwako ingar hata mungu anasamehe....
haya unaetaka kuludiana na ex wako nicheki nikupe swaga
0681305278
utachangia 5000
ee mana ukosefu waswaga uwo niugonjwa mimi kama daktar siwezi kukutibu bule sawa
mwanzo mlidanga nyana ety mapenzi yenu nibahari sasa yamekauka sijui nibahari yawapi iyo
abu by

Guest (Guest) on December 4, 2025

".yani".wemjinga".
dem.amekuja geto kwako amesukwa ameva amependeza nahaukumpa hata mia alafu we unakalia kusema waao waao waao? naatakuwa wao kwel

Guest (Guest) on December 4, 2025

yanii! wanaume niwajinga sisi yani unaitwa my unakubali yani may jina lakike
baby mtoto
unakubali
hani unakubali my chokret unakubali
bado my choko nayo tukubali mpenz wangu mwanzo alikuwa ananita my tumeachana ananita we chokotu nimeonganisha nimepata my choko

Guest (Guest) on December 4, 2025

TANGAZO TANGAZO
mimi nilafikiake mwenye sm najua mlimzowea na mlipenda sana
ABU
lakini mungu
kampenda
zaidi
AMETANGURIA
MBERE za
::
AMENDA Aport
kupanda ndege anaelekea zake amerca kutaza mechi live

nyooo ukajua amekufa ameenda malekani

Guest (Guest) on November 13, 2025

ABU MAHEMBE
mtoto kamwambia mamayake mama naomba niangarie tivii mama akamjibu angaria ira usiwashe

Agnes Sumaye (Guest) on July 15, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Guest (Guest) on November 13, 2025

ABU MAHEMBE
Lizki nilizki tu
Shehe mmoja alipokuwa anatoka msikitini
Akaona kitamba kizulii kama kimefungwa nakitu ndani yake akikichukua nakufungua akakuta zahabu.
Akakikunja vilevile nakukiweka pale pale akaenda kwake nakumuadisia mkewe mkewangu leo wakati napita pale pamoja naile nembo nimeogota zahabu mke akastuka tumekuwa matajili tumekua matajili mmewangu ikowapi mme akajibu sikufanikiwa kuileta mkewangu hawezi juwa inavitu gani mke akalamika akafoka yani a a hatakama ndo shehe unaacha utajir unauwona hapana wemwanaume mume akamjibu kama niliziki itakuja hapahpa ndani mkea analiatu umeacha utajili naizi shidazetu hapana
Kumbe wakati wanaongea kunawaizi walikuwa banda lakuku wanaiba kuku wakaskia wakatoka mbio kwenda nembo alipofika wakakuta kile kitambaa kukifungua wakakuta mavi wakasema ahaaa yule mpuz alijisemesha vile ili tutoke itakuwa alikuwa ashatuona sasa tunaenda kumtupia maviake palepale kwake wakaenda paka nyuma yanyumba yyule shehe wakapitisha kilivondoka shehe kuangalia nizahabu

Andrew Mchome (Guest) on June 16, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Omari (Guest) on May 31, 2024

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Rubea (Guest) on May 11, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Henry Sokoine (Guest) on April 20, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on April 5, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on March 12, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on February 11, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on February 5, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Stephen Kangethe (Guest) on February 1, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on January 17, 2024

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Miriam Mchome (Guest) on December 15, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mariam (Guest) on December 11, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nicholas Wanjohi (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Stephen Kikwete (Guest) on December 3, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on December 1, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on December 1, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on November 18, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Anthony Kariuki (Guest) on November 15, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on November 12, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Halima (Guest) on November 9, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Selemani (Guest) on November 2, 2023

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Wande (Guest) on October 17, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Joyce Nkya (Guest) on September 19, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Tabu (Guest) on September 11, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Simon Kiprono (Guest) on August 17, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

John Mwangi (Guest) on August 3, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Rehema (Guest) on August 2, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lydia Mutheu (Guest) on July 19, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on July 15, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Mwalimu (Guest) on July 4, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Victor Kimario (Guest) on June 13, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Ruth Kibona (Guest) on May 3, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwinyi (Guest) on April 16, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Mwakisu (Guest) on April 9, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Peter Mwambui (Guest) on April 5, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on April 5, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 1, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on March 18, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Related Posts

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More