Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako unamfumania na kimada mmoja tu ugomvi na amani imapotea ndani ya nyumba,unasimulia kuanzia padri,mchungaji,ukoo wako mzima,mashoga, stress,vidonda vya tumbo,inapelekea mpaka unaokoka,eti kisa kamuonjesha mmoja☝ sasa akionjesha 700 si utakutwa Mirembe�

Wadada acheni HIZO
😂😂😂😂😂😂.

Subscribe
Notify of
guest

236 Comments
Most Voted
Newest Oldest
Inline Feedbacks
View all comments
George Wanjala

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅

Margaret Mahiga

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! 😂👏

Majid

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂

Grace Majaliwa

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! 👏😆

Grace Wairimu

Nimecheka hadi machozi 🤣😭

Shopping Cart
0
    0
    Your Cart
    Your cart is emptyReturn to Shop