Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako unamfumania na kimada mmoja tu ugomvi na amani imapotea ndani ya nyumba,unasimulia kuanzia padri,mchungaji,ukoo wako mzima,mashoga, stress,vidonda vya tumbo,inapelekea mpaka unaokoka,eti kisa kamuonjesha mmojaโ sasa akionjesha 700 si utakutwa Mirembe๏ฟฝ
Wadada acheni HIZO
๐๐๐๐๐๐.
References:
Google ScholarResearchGate
Semantic Scholar
AckySHINE
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ๐๐
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ๐๐
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! ๐
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ๐๐
Nimecheka hadi machozi ๐คฃ๐ญ