Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Featured Image

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe, "hivyo utajifanya Sokwe na tutakupa ngozi utavaa"

Jamaa siku ya kwanza akavaa, walipokuja watalii mambo yalienda vizuri, Siku iliyofuata Banda lake liliwekwa juu ya Banda la Simba, Jamaa ktk kuongeza mbwembwe akawa anarukaruka, kwa bahati mbaya si akaangukia ndani ya Banda la Simba, akawa anapiga kelele "Mama nakufaaa!"

Mara yule Simba akamwambia "Acha Ufala ww kelele za nini sasa, mimi mwenyewe Binadamu! rudi kwenye Banda lako kabla watalii hawajaja watatushtukia! chezea ajira ww"………!!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Akech (Guest) on July 7, 2024

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Anna Sumari (Guest) on July 7, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Peter Otieno (Guest) on June 15, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Peter Mugendi (Guest) on June 10, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on June 9, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on May 31, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Malisa (Guest) on May 27, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Diana Mumbua (Guest) on May 24, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

John Lissu (Guest) on May 19, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on May 17, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Elizabeth Mtei (Guest) on May 15, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Violet Mumo (Guest) on April 27, 2024

Asante Ackyshine

Elizabeth Mtei (Guest) on April 7, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Ruth Kibona (Guest) on March 31, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Masika (Guest) on March 28, 2024

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Agnes Njeri (Guest) on March 27, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Lucy Kimotho (Guest) on March 14, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Rahma (Guest) on February 28, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Patrick Akech (Guest) on February 5, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on January 30, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on January 14, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on November 13, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Kenneth Murithi (Guest) on September 2, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Irene Makena (Guest) on August 4, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on July 30, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on July 20, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mwafirika (Guest) on June 20, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Anna Sumari (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Arifa (Guest) on May 27, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Edith Cherotich (Guest) on May 19, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on March 16, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Kevin Maina (Guest) on March 15, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Salma (Guest) on March 1, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Shamim (Guest) on February 21, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Raha (Guest) on December 24, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on December 13, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on November 12, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on November 11, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on October 25, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on October 19, 2022

🀣πŸ”₯😊

Emily Chepngeno (Guest) on September 30, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Nashon (Guest) on August 31, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on August 13, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Agnes Sumaye (Guest) on July 1, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on June 26, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Stephen Amollo (Guest) on June 5, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Tabitha Okumu (Guest) on May 30, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 18, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Sarafina (Guest) on May 3, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Elizabeth Malima (Guest) on April 28, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Miriam Mchome (Guest) on April 15, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on March 17, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Janet Sumari (Guest) on March 8, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Alex Nyamweya (Guest) on February 20, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on February 13, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on February 8, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Lucy Mahiga (Guest) on January 2, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Umi (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Kahina (Guest) on December 21, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Related Posts

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More