Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

JINSI YA KUANDAA VILEJA

Featured Image

MAHITAJI

Unga wa mchele - 500g

Samli - 250g

Sukari - 250g

Hiliki iliyosagwa - 1/2 kijiko cha chai

Arki (rose flavour) - 1/2 kijiko cha chai

Baking powder - 1 kijiko cha chai

Mayai - 4

Maji ya baridi - 1/2 kikombe cha chai

MAANDALIZI

Saga sukari iwe laini kiasi, changanya unga wa mchele, baking powder, hiliki na sukari.
Pasha moto samli mpaka iwe nyepesi kama maji mimina kwenye ule mchanganyiko wa unga wa mchele, kisha uchanganye pamoja na arki.
Ongeza mayai yaliopigwa endelea kuchanganya mpaka unga umeanza kuchanganyika vizuri.
Ongeza maji ya baridi sana kama nusu kikombe tu ili uchanganyike vizuri.
Kata kwa design unayotaka viwe vinene visiwe kama cookies za kawaida kama ilivyo kwenye picha na ukipenda utaweka kidoto kwa kutumia zaafarani katikati ya kileja kama inavyoonesha hapo juu.
Choma kwa moto wa baina ya 300F na 350F kwa dakika 15 mpaka 20 visiwe vyekundu toa na tayari kwa kuliwa.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Mapishi ya Chapati za maji za vitunguu

Mapishi ya Chapati za maji za vitunguu

Mahitaji

Unga wa ngano (plain flour) 1/4
Kitunguu kikubwa (chopped/slice onion) 1Read More

Mchemsho wa samaki na viazi

Mchemsho wa samaki na viazi

Mahitaji

Samaki mbichi (1)
Viazi mbatata (3)
Nyanya (1)
Kitunguu maji
Read More

Jinsi ya kupika Visheti Vyeupe Na Vya Kaukau

Jinsi ya kupika Visheti Vyeupe Na Vya Kaukau

VIPIMO:

Unga wa Visheti

Unga 4 Vikombe vya chai

Siagi 1 Kikombe cha chai

<... Read More
UNYONYESHAJI BORA WA MAZIWA YA MAMA

UNYONYESHAJI BORA WA MAZIWA YA MAMA

β€’ Maziwa ya mama pekee ndio chakula na kinywaji cha mtoto bora zaidi kwa watoto kwa miezi sita ... Read More

Vitafunio 10 vya Afya kwa Kusaidia Zoezi lako la Mazoezi

Vitafunio 10 vya Afya kwa Kusaidia Zoezi lako la Mazoezi

Vitafunio 10 vya Afya kwa Kusaidia Zoezi lako la Mazoezi πŸ₯¦πŸ‡πŸ₯•πŸ₯šπŸŒπŸ’§πŸ₯œπŸ₯—πŸ₯›πŸ“... Read More

Mapishi ya Sponge keki

Mapishi ya Sponge keki

Mahitaji

Unga wa ngano (self risen flour) 100g
Sukari (sugar) 100g
Siagi isiyok... Read More

Mapishi ya Sambusa za nyama

Mapishi ya Sambusa za nyama

Mahitaji

Nyama ya kusaga (minced beef 1/4 kilo)
Vitunguu maji vilivyokatwakatwa(dice... Read More

Mapishi ya Chicken Satay

Mapishi ya Chicken Satay

Mahitaji

Kidali cha kuku 1 (chicken breast)
Kitunguu maji 1/2 (onion)
Kitunguu ... Read More

Jinsi ya kupika Pilau ya Mpunga Na Nyama Ya Ng’ombe

Jinsi ya kupika Pilau ya Mpunga Na Nyama Ya Ng’ombe

Mahitaji

Mpunga - 4 vikombe

Nyama - 1 kilo moja

Kitunguu maji - 3

Mbata... Read More

Mapishi ya Biskuti Za Jam

Mapishi ya Biskuti Za Jam

VIAMBAUPISHI

Unga 2 Β½ gilasi

Sukari ΒΎ gilasi

Samli 1 gilasi

Mayai 2Read More

Mapishi ya Biriani la nyama ya ng'ombe

Mapishi ya Biriani la nyama ya ng'ombe

Mahitaji

Nyama ya ng'ombe (beef 1/2 kilo)
Mchele (rice 1/2 kilo)
Vitunguu (onio... Read More

Mapishi ya Tende Ya Kusonga Ya Lozi Na Cornflakes

Mapishi ya Tende Ya Kusonga Ya Lozi Na Cornflakes

VIAMBAUPISHI

Tende zilizotolewa kokwa - 1 Kilo

Cornflakes - 1 Β½ kikombe

Lozi... Read More