Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mapishi ya Wali Wa Kichina Wa Kamba Na Kuku

Featured Image

MAHITAJI

Mchele wa pishori (basmati) - 4

Nyama ya kuku bila mafupa - 1 Lb

Kamba saizi kubwa - 1Lb

Mchanganyiko wa mboga - njegere, karoti,

mahindi, maharage ya kijani (spring beans) - 2 vikombe

Figili mwitu (Cellery) - 2 mche

Vitunguu vya majani (spring onions) - 4-5 miche

Kebeji - 2 vikombe

Pilipili ya unga nyekundu - 1 kijiko cha chai

Pilipili manga ya unga - 1 kijiko cha chai

Sosi ya soya - 3 vijiko vya supu

Mafuta - 1/4 kikombe

Chumvi - kiasi

MAPISHI

Osha na roweka mchele.
Tia kamba chumvi na pilipili nyekundu ya unga. Tia mafuta vijiko viwili katika kikaango (frying pan), kaanga kamba kidogo tu, weka kando.
Katakata kuku vipande vidogo vidogo, tia chumvi na pilipili manga. Kaanga kaTika kikaango (ongeza mafuta kidogo) Weka kando.
Katika karai, tia mafuta kidogo kama vijiko vitatu vya supu, tia kamba na kuku, tia mboga za mchanganyiko, sosi ya soya na chumvi, kaanga kidogo. (Kama mboga sio za barafu) itabidi uchemshe kidogo.
Katakata kebeji, figili mwitu (cellery) na vitunguu vya majani (spring onions) utie katika mchaganyiko. acha kwa muda wa chini ya dakika moja katika moto.
Chemsha mchele, tia mafuta kidogo au siagi, chumvi upikie uive nusu kiini, mwaga maji uchuje.
Changanya vyote na wali rudisha katika sufuria au bakuli la oveni, funika na upike kwa moto wa kiasi kwa muda wa dakika 15-20 takriban.
Epua na upakue katika sahani ukiwa tayari kuliwa.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Virutubishi, kazi zake katika mwili na vyanzo vyake

Virutubishi, kazi zake katika mwili na vyanzo vyake

Virutubishi

ni viini vilivyoko kwenye chakula ambavyo vinauwezesha mwili kufanya kazi zak... Read More

Jinsi ya kupika Wali Wa Karoti Na Nyama

Jinsi ya kupika Wali Wa Karoti Na Nyama

Viambaupishi: Wali

Mchele 3 Magi

Mafuta 1/4 kikombe

Karoti unakata refu refu ... Read More

Mapishi ya Supu Ya Maboga

Mapishi ya Supu Ya Maboga

Viamba upishi

Blue band vijiko vikubwa 2
Maziwa vikombe 2
Royco kijiko kikubwa ... Read More

Bisikuti Za Kokoa (Cocoa Biscuits)

Bisikuti Za Kokoa (Cocoa Biscuits)

Viambaupishi

Siagi 100gm

Unga wa kaukau (cocoa powder) 2 Vijiko vya supu

Mazi... Read More

Mapishi ya Pilau Ya Bilingani Na Kuku

Mapishi ya Pilau Ya Bilingani Na Kuku

Viambaupishi

Mchele wa basmati - 3 vikombe

Kuku - Β½

Bilingani - 2 ya kiasiRead More

Mapishi mazuri ya Chapati za maji

Mapishi mazuri ya Chapati za maji

Mahitaji

Unga wa ngano (plain flour) ( 1/4 kilo)
Yai (egg 1)
Sukari (sugar 1/4 ... Read More

Madhara ya soda

Madhara ya soda

Soda ni kiburudisho ambacho si muhimu sana kwa afya.

Aina nyingi za soda zina kafeini ambay... Read More

Jinsi ya kupika Mseto Kwa Mchuzi Wa Samaki Wa Nazi

Jinsi ya kupika Mseto Kwa Mchuzi Wa Samaki Wa Nazi

Vipimo vya mseto

Tanbihi: Kiasi ya vipimo inategemea wingi wa watu, unaweza kupunguza au ... Read More

Jinsi ya kutengeneza Slesi Za Chokoleti Na Karameli

Jinsi ya kutengeneza Slesi Za Chokoleti Na Karameli

VIAMBAUPISHI

Unga - 1 Magi (vikombe vya chai)

Sukari ya browni - Β½ Magi

Siag... Read More

Mapishi ya Chapati za maji za vitunguu

Mapishi ya Chapati za maji za vitunguu

Mahitaji

Unga wa ngano (plain flour) 1/4
Kitunguu kikubwa (chopped/slice onion) 1Read More

Mapishi ya visheti vitamu

Mapishi ya visheti vitamu

VIAMBAUPISHI

Unga - Vikombe 2

Samli au shortening ya mboga - 2 Vijiko vya supu

<... Read More
Mapishi ya Bagia dengu

Mapishi ya Bagia dengu

Mahitaji

Unga wa dengu (gram flour 1/4 kilo)
Kitunguu kilichokatwa (onion 2)
Ho... Read More