Tofauti ya maskini, tajiri na mwenye uchu/tamaa ni kwamba; Mtu maskini anafanyakazi ili apate chochote, tajiri anafanya kazi apate vitu vingi lakini mwenye uchu/tamaa anafanya kazi apate vitu vyote kitu ambacho hakiwezekani kwa hali ya kawaida.

Tofauti ya Maskini, tajiri na mtu mwenye uchu

Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
No comments yet. Be the first to share your thoughts!