Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tofauti ya Maskini, tajiri na mtu mwenye uchu

Featured Image

Tofauti ya maskini, tajiri na mwenye uchu/tamaa ni kwamba; Mtu maskini anafanyakazi ili apate chochote, tajiri anafanya kazi apate vitu vingi lakini mwenye uchu/tamaa anafanya kazi apate vitu vyote kitu ambacho hakiwezekani kwa hali ya kawaida.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jaribu Mambo Kadiri uwezavyo

Jaribu Mambo Kadiri uwezavyo

Jarbu Mambo mengi kadiri uwezavyo kwani kwa kujaribu ndivyo tunajua tunaweza au hatuw... Read More

Chema na kizuri

Chema na kizuri

Sio kila kizuri ni chema, lakini kila chema ni kizuri. Uzuri wa chema ni wema wake.Read More

Kushindwa jambo kubwa

Kushindwa jambo kubwa

Kujaribu kufanya jambo kubwa la kipekee ni kushinda hata kama halijafanikiwa.

Read More
Vitu haviwezi kujisogeza

Vitu haviwezi kujisogeza

Kwenye dunia hii vitu haviwezi kusimama kama havijasimamishwa.

... Read More
Kushindwa jambo sio Makosa

Kushindwa jambo sio Makosa

Kushindwa jambo sio Makosa, bali kuacha kufanya jambo kabisa ni makosa makubwa.

Read More
Kuacha jambo au kitu chochote

Kuacha jambo au kitu chochote

Kuacha kitu chochote kabisa moja kwa moja ni rahisi sana kuliko kufanya kitu hicho ki... Read More

Uzuri na ubora

Uzuri na ubora

Uzuri wa kitu huvutia MACHO lakini ubora wa kitu huuteka MOYO daima. Uzuri haudumu.Read More

Mwanzo mzuri wa kitu

Mwanzo mzuri wa kitu

Kitu chochote kinapofanywa vizuri mwanzoni ni sawa na kimefanywa nusu tayari.

Read More
Kufanya Biashara vizuri

Kufanya Biashara vizuri

Ukitaka kufanya biashara kwa ufanisi; wakati wa kununua nunua ukiwa na mtazamo wa muu... Read More

Maisha ya ujana

Maisha ya ujana

Maisha ya ujana ni kufanya mema au mabaya, kushinda au kushindwa. Uzee ni sherehe au ... Read More

Umbali na upendo

Umbali na upendo

Unapokosa kitu ukipendacho kwa muda mfupi kinapungua thamani, ukikikosa kwa muda mref... Read More

Ushauri kwa mtu

Ushauri kwa mtu

Usimpe mtu ushauri ambao unahisi ataukubali sana, mpe mtu ushauri wenye manufaa kwake... Read More