Matendo ya mtu
Updated at: 2024-05-23 16:12:39 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Matendo ya mtu ni tafsiri kuu ya mawazo yake.
Read more
Close
Thamani ya faida
Updated at: 2024-05-23 16:12:41 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Huwezi kuona thamani ya kitu ambacho hujakigharamia. Faida haina thamani kama haijagharamiwa.
Read more
Close
Kutokuwa na kitu
Updated at: 2024-05-23 16:12:38 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kukosa mtu, kitu au jambo fulani kunasababila Moyo kujenga upendo kwenye mtu, kitu au jambo ulilolikosa.
Read more
Close
Chema na kizuri
Updated at: 2024-05-23 16:12:44 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Sio kila kizuri ni chema, lakini kila chema ni kizuri. Uzuri wa chema ni wema wake.
Read more
Close
Jaribu Mambo Kadiri uwezavyo
Updated at: 2024-05-23 16:12:50 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Jarbu Mambo mengi kadiri uwezavyo kwani kwa kujaribu ndivyo tunajua tunaweza au hatuwezi. Kamwe usiseme huwezi jambo kabla ya kujaribu.
Read more
Close
Kushindwa jambo kubwa
Updated at: 2024-05-23 16:12:43 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kujaribu kufanya jambo kubwa la kipekee ni kushinda hata kama halijafanikiwa.
Read more
Close
Urithi wa mtu
Updated at: 2024-05-23 16:12:42 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Kila mtu ni mrithi wake yeye mwenyewe. Mafanikio yako ya baadae ni urithi wako ulioutengeneza hapo awali. Utajiri wako wa sasa unatokana na uliyoyawekeza miaka ya nyuma na utajiri wako ujao ni yale unayoyawekeza sasa.
Read more
Close
Tuwe wenye Hodari na wenye uwezo
Updated at: 2024-05-23 16:12:50 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Tunatakiwa tujenge uhodari na uwezo utakaotusaidia kutumia fursa zilizo wazi mbele yetu.
Read more
Close
Umbali na upendo
Updated at: 2024-05-23 16:12:46 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Unapokosa kitu ukipendacho kwa muda mfupi kinapungua thamani, ukikikosa kwa muda mrefu thamani yake yote hupotea.
Read more
Close
Mfu wa Mawazo
Updated at: 2024-05-23 16:12:45 (1 year ago by SW - Melkisedeck Shine)
Ukiona unaweza ukakaa siku nzima bila hata kuwa na wazo moja jipya ujue umezeeka akili tayari na kesho unaweza ukawa haupo
Read more
Close