Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje?
BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu
GIRL: Enhee…
BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako
GIRL: Ooh baby u care..
BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque
GIRL: Baby u are awesome…
BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula….
GIRL: Enhee…na sisi??

BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti
Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives
GIRL: Baby I love you
BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamas….halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani
GIRL: Ooh my sweetheart…halafu tukitoka huko??
BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lucy Wangui (Guest) on July 22, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Guest (Guest) on September 28, 2025

Mkuu fundisana UTENGWE

Lydia Mahiga (Guest) on June 8, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on May 17, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on April 28, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on April 13, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Frank Sokoine (Guest) on April 3, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on March 31, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

James Malima (Guest) on March 21, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Faith Kariuki (Guest) on March 17, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Samuel Were (Guest) on February 21, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Guest (Guest) on October 13, 2025

Kweli mnakipaji

David Nyerere (Guest) on February 15, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on February 12, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nancy Kabura (Guest) on February 1, 2024

πŸ˜† Bado nacheka!

Mwanaidi (Guest) on January 28, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Sarafina (Guest) on January 17, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

James Malima (Guest) on December 6, 2023

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on November 27, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on October 13, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on September 1, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on August 11, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mustafa (Guest) on August 7, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Carol Nyakio (Guest) on July 23, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on July 18, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Zakaria (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nora Kidata (Guest) on June 30, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on June 29, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Abdillah (Guest) on May 25, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Kimario (Guest) on May 14, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on April 24, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on March 26, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Mrope (Guest) on March 5, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on February 28, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Majid (Guest) on February 22, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Janet Mwikali (Guest) on February 16, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ann Awino (Guest) on January 8, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on December 27, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

James Mduma (Guest) on December 27, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

John Lissu (Guest) on December 27, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Andrew Mchome (Guest) on December 9, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on December 7, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Binti (Guest) on November 25, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Dorothy Nkya (Guest) on November 19, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on October 24, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Anna Malela (Guest) on October 20, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on October 10, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Catherine Naliaka (Guest) on October 7, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Faiza (Guest) on September 20, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Amani (Guest) on September 19, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Anthony Kariuki (Guest) on September 3, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on August 20, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

David Musyoka (Guest) on August 10, 2022

😊🀣πŸ”₯

Peter Mbise (Guest) on June 17, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on June 5, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Nashon (Guest) on May 23, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Kidata (Guest) on May 11, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on April 6, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on March 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Maimuna (Guest) on January 24, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Related Posts

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More