Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.

3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.

4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.

5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.

6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.

7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.

8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.

9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.

10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.

11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick

12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi

13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani

14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.

15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.

16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.

17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.

18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Samuel Omondi (Guest) on March 6, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Elizabeth Mrema (Guest) on February 17, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Agnes Njeri (Guest) on December 17, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rose Amukowa (Guest) on December 16, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on December 1, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Catherine Naliaka (Guest) on November 5, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Nancy Kabura (Guest) on October 30, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Simon Kiprono (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Carol Nyakio (Guest) on September 12, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Hekima (Guest) on August 31, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Alex Nyamweya (Guest) on July 31, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sarah Achieng (Guest) on July 26, 2015

😊🀣πŸ”₯

Patrick Mutua (Guest) on July 19, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raha (Guest) on July 17, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Mariam (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Robert Ndunguru (Guest) on July 9, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rukia (Guest) on July 5, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Lowassa (Guest) on July 1, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 27, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on June 3, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mashaka (Guest) on May 20, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ahmed (Guest) on May 20, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Henry Sokoine (Guest) on May 16, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on April 23, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mwanaidha (Guest) on April 21, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Habiba (Guest) on April 19, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Yahya (Guest) on April 2, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More