Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Featured Image

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbinguni na kushoto ni Jehanamu, Je unachagua kwenda wapi?

MANGI: Bwashee, mi nabaki hapa hapa njiapanda aisee.
MALAIKA: Kwa nini?
MANGI: Aisee, nikifungua duka hapa si nitapata wateja wa Mbinguni na Jehanam. Yani patakuwa senta ya hatari, supu na nyama choma muda wote. Hata we utafaidi, unavyoenda kuchukua roho unaniletea stock nakupa hela yako cash mkononi. Na kila ukipita hapa unapiga mchemsho wako wa ulimi na bia mbili chap kabla ya kuingia mbinguni.
Kwanza nashangaa Shirima alipitaje hapa bila kushika ploti, au alikufa amelewa sana?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Margaret Anyango (Guest) on March 17, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Ndoto (Guest) on March 16, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Monica Nyalandu (Guest) on February 27, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on February 13, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Nchi (Guest) on February 8, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Mwangi (Guest) on January 12, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mwanaidi (Guest) on January 10, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Jackson Makori (Guest) on January 1, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on December 24, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Kibwana (Guest) on December 22, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Lydia Wanyama (Guest) on December 18, 2016

🀣πŸ”₯😊

Omari (Guest) on December 10, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Mwalimu (Guest) on December 1, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Shamsa (Guest) on November 21, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Janet Sumari (Guest) on November 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

David Ochieng (Guest) on November 16, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jaffar (Guest) on November 5, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lydia Mahiga (Guest) on November 1, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 1, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on September 9, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Abubakar (Guest) on September 7, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Hellen Nduta (Guest) on August 25, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on August 21, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Tambwe (Guest) on August 14, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on August 11, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Yusuf (Guest) on August 10, 2016

Asante Ackyshine

Grace Majaliwa (Guest) on August 6, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on August 1, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on July 31, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jane Malecela (Guest) on June 25, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Alex Nyamweya (Guest) on June 21, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Joseph Mallya (Guest) on June 18, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Maneno (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Nchi (Guest) on May 28, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Shukuru (Guest) on February 27, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Emily Chepngeno (Guest) on January 20, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on December 23, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 17, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on December 2, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on November 23, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Catherine Naliaka (Guest) on October 27, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Hekima (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Lucy Mahiga (Guest) on September 27, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on September 23, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Frank Macha (Guest) on September 2, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on August 19, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on August 17, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 2, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

George Tenga (Guest) on July 25, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on July 14, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Zakaria (Guest) on June 9, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Irene Akoth (Guest) on April 28, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

David Chacha (Guest) on April 17, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on April 1, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More