Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Wasichana wa leo

Featured Image

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna siri flani nimeitunza moyoni mwangu kwa muda mrefu na nikaona kama nitakuambia lazima utaniacha.

#Msichana: siri gani hiyo mpenzi wangu?

#Jamaaa: nimeoa.
#Msichanaa: HΙ›Ι›Ι›Ι›Ι›Ι›Ι›Ι›! We umenishtua sana,mm nilifikiri hili gari sio lako!
πŸ™†πŸ™†πŸ€—πŸ€—

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Raha (Guest) on July 23, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Violet Mumo (Guest) on July 16, 2017

😊🀣πŸ”₯

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 3, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

George Tenga (Guest) on June 7, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Moses Kipkemboi (Guest) on May 29, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on May 14, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Zakaria (Guest) on May 4, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on April 26, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Carol Nyakio (Guest) on April 20, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Edith Cherotich (Guest) on February 26, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on January 10, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Lowassa (Guest) on January 6, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

John Kamande (Guest) on December 23, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Isaac Kiptoo (Guest) on December 23, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on December 20, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Asha (Guest) on December 18, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Anna Kibwana (Guest) on December 12, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

John Kamande (Guest) on December 9, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Wilson Ombati (Guest) on December 5, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on December 3, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Betty Kimaro (Guest) on November 29, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on November 25, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maulid (Guest) on November 25, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on November 21, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alice Mwikali (Guest) on September 28, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Zakia (Guest) on September 26, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Juma (Guest) on September 18, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

John Lissu (Guest) on September 12, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on August 29, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Zuhura (Guest) on August 27, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Mariam Hassan (Guest) on August 8, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mchuma (Guest) on August 1, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Joseph Kawawa (Guest) on June 29, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on May 19, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Margaret Anyango (Guest) on May 19, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 1, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on April 27, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Mjaka (Guest) on April 20, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Robert Okello (Guest) on March 28, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

George Wanjala (Guest) on March 21, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Francis Mtangi (Guest) on February 3, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on January 28, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sultan (Guest) on January 21, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 21, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Rahma (Guest) on October 3, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on September 27, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mhina (Guest) on September 25, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 21, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on July 31, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Philip Nyaga (Guest) on July 5, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Fadhili (Guest) on June 15, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Lucy Mahiga (Guest) on June 4, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Mwafirika (Guest) on May 23, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Emily Chepngeno (Guest) on May 14, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on May 11, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on April 21, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Related Posts

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More