Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.





2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.





3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?





4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.





5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.





6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.





7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.





8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.





9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.





10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Benjamin Kibicho (Guest) on July 18, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Benjamin Masanja (Guest) on July 3, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Nyerere (Guest) on June 8, 2024

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine Nduta (Guest) on May 27, 2024

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Wairimu (Guest) on May 23, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Anna Mahiga (Guest) on May 21, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Guest (Guest) on October 8, 2025

"kihele hele "chakumpenda "mpangaji mwenzangu "
*ona leo nalipa kodi "malambili
"(ABU)SIDO)SAMIRU)SIDO

Sarah Mbise (Guest) on May 9, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Jonath (Guest) on April 20, 2024

Good

Guest (Guest) on October 8, 2025

"kumbe mungu alifanya "vema watu kufa "isgekua kufa sijui tungekula nini mana duni ingejaa "watu ABU APA wamiki sido

Melkisedeck Leon Shine (Master Admin) on April 20, 2024

Inafurahisha na kutafakarisha

Samson Mahiga (Guest) on April 20, 2024

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joyce Mussa (Guest) on April 20, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on February 10, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on January 30, 2024

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on January 16, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on December 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Guest (Guest) on November 14, 2025

VICHEKESHO

Elizabeth Mrope (Guest) on November 5, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on October 5, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on September 29, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

David Musyoka (Guest) on August 26, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Stephen Amollo (Guest) on August 19, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Farida (Guest) on July 31, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Salum (Guest) on July 30, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Peter Otieno (Guest) on July 15, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on July 8, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on June 30, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Benjamin Masanja (Guest) on June 8, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

David Sokoine (Guest) on May 22, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nuru (Guest) on May 18, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 15, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on April 10, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Kheri (Guest) on March 19, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mchawi (Guest) on March 5, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Nancy Komba (Guest) on January 24, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Maimuna (Guest) on January 8, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mercy Atieno (Guest) on January 2, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 31, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on December 29, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Elizabeth Mrope (Guest) on December 16, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on November 29, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on November 21, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Victor Kamau (Guest) on October 5, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mrema (Guest) on September 6, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Neema (Guest) on August 27, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Grace Minja (Guest) on August 8, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Makame (Guest) on August 7, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

George Wanjala (Guest) on August 2, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on July 16, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on July 13, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on June 25, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Jackson Makori (Guest) on June 24, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on June 16, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

John Mushi (Guest) on April 12, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Grace Majaliwa (Guest) on April 5, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Related Posts

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More