Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Stori za simu za wavulana na wasichana

Featured Image

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary..Pouwaa za siku jamani
Lily…Nzuri rafiki Yangu wa damu
Mary…Jioni nakuja kwako tule Na
kunywa japo wine wanguu
Lily…Nakusubiri kwa hamuu
mpenziiii

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

Lily…Huyu mchawi wa kike Leo
anataka kuja kwangu wala hanikuti.
Mary..Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu
kahaba eti nakusubir Kwa hamuu
nani aende!!!

STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMU

John…Niaje we mbwaa
Sam…Pouwa kichaa wanguu
John..Upo wap mpumbavu wewe
Sam…Niko hom, we fala Uko wap?
John..Baadae nakuibukia jambaz
langu tukale bata
Sawa… Pouwaa we ms**nge
nakusubiri

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

John…Dah baadae nikakae na
mwanangu Sam sijamuona long
time
Sam…John bwana akiwa Na pesa
lazima anitafute mwanaeee.

FUNZO..

Baadhi ya Wasichana
hujifanya wanapendana Kwa
maneno lkn ni Kwa nje tu!! lkn
WANACHUKIANA
WAVULANA unaweza Kudhani
hawapendani Kwa Maneno lkn
WANAPENDANA..

Mpe TANO mchizi wako kudumisha upendo wetu wavulana…
High πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘Š boys

hiyo apo

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alex Nakitare (Guest) on July 20, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on July 5, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on June 10, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mwanaisha (Guest) on May 29, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Thomas Mtaki (Guest) on April 4, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on March 16, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on March 11, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Victor Kamau (Guest) on March 3, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 3, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on March 3, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on February 15, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on February 13, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Azima (Guest) on February 3, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Stephen Kikwete (Guest) on February 1, 2017

Asante Ackyshine

Furaha (Guest) on January 31, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Josephine Nduta (Guest) on January 29, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Peter Mugendi (Guest) on January 24, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on January 2, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on January 1, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on December 11, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jacob Kiplangat (Guest) on November 2, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Edwin Ndambuki (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Patrick Kidata (Guest) on September 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on September 17, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on September 15, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Maneno (Guest) on August 21, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

David Chacha (Guest) on July 17, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Abdillah (Guest) on July 2, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Francis Mtangi (Guest) on June 4, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Chris Okello (Guest) on May 29, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on May 25, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Diana Mallya (Guest) on May 9, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Halimah (Guest) on April 8, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Vincent Mwangangi (Guest) on April 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on March 26, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on March 18, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 15, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on February 2, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Malisa (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Grace Njuguna (Guest) on December 3, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on October 31, 2015

😊🀣πŸ”₯

Samuel Were (Guest) on October 24, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Aziza (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Issack (Guest) on October 12, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alex Nyamweya (Guest) on October 8, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Rose Mwinuka (Guest) on September 15, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on August 2, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Mwangi (Guest) on July 27, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anna Kibwana (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Andrew Mchome (Guest) on June 1, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Bakari (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Daniel Obura (Guest) on May 11, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on April 4, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Related Posts

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More