Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
โ˜ฐ
AckyShine

Stori za simu za wavulana na wasichana

Featured Image

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Maryโ€ฆ Hallow mpenzii
Lilyโ€ฆ. Niambie my dear
Mary..Pouwaa za siku jamani
Lilyโ€ฆNzuri rafiki Yangu wa damu
Maryโ€ฆJioni nakuja kwako tule Na
kunywa japo wine wanguu
Lilyโ€ฆNakusubiri kwa hamuu
mpenziiii

BAADA YA KUKATA SIMUโ€ฆKILA
MMOJA ANAWAZA

Lilyโ€ฆHuyu mchawi wa kike Leo
anataka kuja kwangu wala hanikuti.
Mary..Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu
kahaba eti nakusubir Kwa hamuu
nani aende!!!

STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMU

Johnโ€ฆNiaje we mbwaa
Samโ€ฆPouwa kichaa wanguu
John..Upo wap mpumbavu wewe
Samโ€ฆNiko hom, we fala Uko wap?
John..Baadae nakuibukia jambaz
langu tukale bata
Sawaโ€ฆ Pouwaa we ms**nge
nakusubiri

BAADA YA KUKATA SIMUโ€ฆKILA
MMOJA ANAWAZA

Johnโ€ฆDah baadae nikakae na
mwanangu Sam sijamuona long
time
Samโ€ฆJohn bwana akiwa Na pesa
lazima anitafute mwanaeee.

FUNZO..

Baadhi ya Wasichana
hujifanya wanapendana Kwa
maneno lkn ni Kwa nje tu!! lkn
WANACHUKIANA
WAVULANA unaweza Kudhani
hawapendani Kwa Maneno lkn
WANAPENDANA..

Mpe TANO mchizi wako kudumisha upendo wetu wavulanaโ€ฆ
High ๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘Š๐Ÿ‘Š boys

hiyo apo

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alex Nakitare (Guest) on July 20, 2017

Napenda jokes zenu! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on July 5, 2017

๐Ÿคฃ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on June 10, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! ๐Ÿ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on June 10, 2017

๐Ÿ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mwanaisha (Guest) on May 29, 2017

๐Ÿคฃ Kichekesho bora kabisa!

Thomas Mtaki (Guest) on April 4, 2017

Hii imenifurahisha kweli! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on March 16, 2017

Hii ni kali sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Anna Malela (Guest) on March 11, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! ๐ŸŽฏ

Victor Kamau (Guest) on March 3, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 3, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Mary Mrope (Guest) on March 3, 2017

๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ

Sarah Achieng (Guest) on February 15, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

Frank Sokoine (Guest) on February 13, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Azima (Guest) on February 3, 2017

๐Ÿ˜„ Umenishika vizuri!

Stephen Kikwete (Guest) on February 1, 2017

Asante Ackyshine

Furaha (Guest) on January 31, 2017

๐Ÿ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Josephine Nduta (Guest) on January 29, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on January 24, 2017

Nimefurahia sana hii! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on January 2, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Henry Mollel (Guest) on January 1, 2017

Hii imenibamba sana! ๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ

Stephen Mushi (Guest) on December 11, 2016

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜Š

Jacob Kiplangat (Guest) on November 2, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! ๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ

Edwin Ndambuki (Guest) on October 29, 2016

๐Ÿ˜† Bado nacheka!

Patrick Kidata (Guest) on September 29, 2016

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Samson Mahiga (Guest) on September 17, 2016

Hii imenikuna sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on September 15, 2016

๐Ÿคฃ Ninashiriki hii sasa hivi!

Maneno (Guest) on August 21, 2016

๐Ÿ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

David Chacha (Guest) on July 17, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Abdillah (Guest) on July 2, 2016

๐Ÿคฃ Nalia kwa kicheko kweli!

Francis Mtangi (Guest) on June 4, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! ๐Ÿ˜ƒ

Chris Okello (Guest) on May 29, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! โ˜•๐Ÿ˜†

Wilson Ombati (Guest) on May 25, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on May 14, 2016

๐Ÿ˜„ Kichekesho kamili!

Diana Mallya (Guest) on May 9, 2016

๐Ÿ‘๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Alice Jebet (Guest) on April 16, 2016

๐Ÿ˜‚ Hii ni kali sana!

Halimah (Guest) on April 8, 2016

๐Ÿ˜ Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Vincent Mwangangi (Guest) on April 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Grace Mligo (Guest) on March 26, 2016

Mna talent ya jokes! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on March 18, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! ๐Ÿ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 15, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! ๐Ÿ˜‚

Irene Akoth (Guest) on February 2, 2016

๐Ÿ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Malisa (Guest) on December 25, 2015

๐Ÿ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Grace Njuguna (Guest) on December 3, 2015

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚

Peter Mbise (Guest) on October 31, 2015

๐Ÿ˜Š๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ

Samuel Were (Guest) on October 24, 2015

Huyu alikuwa na point! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Aziza (Guest) on October 13, 2015

๐Ÿ˜† Naihifadhi hii!

Issack (Guest) on October 12, 2015

๐Ÿ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alex Nyamweya (Guest) on October 8, 2015

๐Ÿ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Rose Mwinuka (Guest) on September 15, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚

David Chacha (Guest) on August 2, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

John Mwangi (Guest) on July 27, 2015

๐Ÿ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anna Kibwana (Guest) on July 8, 2015

๐Ÿ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Andrew Mchome (Guest) on June 1, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Bakari (Guest) on May 24, 2015

๐Ÿ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Daniel Obura (Guest) on May 11, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Mercy Atieno (Guest) on April 4, 2015

๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜†

Related Posts

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFRENDยปยปhellow sweetheart

BOYFRENDยปยปhellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDยป... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* ๐Ÿ‘€๐Ÿ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hiiโ€ฆ.!!*

... Read More
Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAIโ€ฆRead More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaย Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:ย baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:ย angalia itak... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More