Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Featured Image

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 24, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on October 8, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Ramadhan (Guest) on September 27, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anna Kibwana (Guest) on July 28, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

George Wanjala (Guest) on June 23, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sumaya (Guest) on June 11, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

James Kawawa (Guest) on May 23, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Diana Mumbua (Guest) on May 10, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

David Musyoka (Guest) on March 17, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Robert Okello (Guest) on February 22, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Bahati (Guest) on February 16, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Agnes Lowassa (Guest) on January 17, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Macha (Guest) on January 15, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Paul Ndomba (Guest) on January 2, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on December 13, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 23, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on November 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on October 12, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Abdillah (Guest) on September 29, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joyce Aoko (Guest) on August 30, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mjaka (Guest) on August 21, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nancy Kabura (Guest) on June 30, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Arifa (Guest) on June 10, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Zulekha (Guest) on May 31, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Catherine Naliaka (Guest) on May 30, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on May 12, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Neema (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Christopher Oloo (Guest) on April 15, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on April 13, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Faiza (Guest) on March 13, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 28, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Lucy Mahiga (Guest) on February 22, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Aziza (Guest) on February 17, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Simon Kiprono (Guest) on February 4, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

David Musyoka (Guest) on January 9, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on December 24, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on December 12, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on December 4, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on November 19, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Philip Nyaga (Guest) on November 17, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

George Ndungu (Guest) on November 8, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Hawa (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Ann Wambui (Guest) on October 15, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on September 14, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Betty Akinyi (Guest) on September 13, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on September 8, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Halima (Guest) on September 8, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Jackson Makori (Guest) on August 6, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on July 6, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on June 20, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on May 19, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Salma (Guest) on May 2, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Sarah Karani (Guest) on April 15, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on April 14, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Aziza (Guest) on April 12, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Hashim (Guest) on April 7, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Related Posts

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More