Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?

Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!

Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyie…Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.

Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.

Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tu…..πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

George Tenga (Guest) on April 30, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on April 29, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on February 20, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on February 17, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Charles Mboje (Guest) on December 20, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on December 17, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on December 13, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mohamed (Guest) on December 1, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Philip Nyaga (Guest) on November 25, 2016

🀣πŸ”₯😊

Samson Mahiga (Guest) on November 12, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Joyce Mussa (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on October 30, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

George Mallya (Guest) on October 29, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Kamande (Guest) on September 19, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Umi (Guest) on August 9, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Omar (Guest) on July 20, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Jane Malecela (Guest) on June 24, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on June 21, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwinyi (Guest) on June 18, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Monica Lissu (Guest) on June 9, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

James Malima (Guest) on May 27, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on May 8, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

George Mallya (Guest) on April 7, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Kangethe (Guest) on March 25, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shamsa (Guest) on March 22, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Zakia (Guest) on March 1, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Brian Karanja (Guest) on February 24, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Monica Adhiambo (Guest) on February 24, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Yusuf (Guest) on February 16, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Simon Kiprono (Guest) on February 7, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on December 21, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Samuel Were (Guest) on December 16, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Hashim (Guest) on December 11, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Josephine (Guest) on November 20, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Sokoine (Guest) on October 17, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Stephen Kikwete (Guest) on October 16, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on October 8, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Monica Adhiambo (Guest) on October 3, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on October 1, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on September 21, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on September 14, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Athumani (Guest) on September 5, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on August 7, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mazrui (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Grace Minja (Guest) on June 29, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on June 17, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on June 9, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Moses Mwita (Guest) on June 8, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 17, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on May 13, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Lucy Mahiga (Guest) on May 5, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on May 4, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mzee (Guest) on April 30, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on April 28, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Yusuf (Guest) on April 12, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Related Posts

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More