Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Featured Image

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke akarusha busu kwa mmojawapo kupitia dirishani katika jengo la ghorofa tatu.

Wakaanza kujadiliana kama ifuatavyo:

Ben:Β Muone yule mrembo amenirushia busu

Jose:Β tafadhali achana na huyo mwanamke, usimjali..

(baadae yule mwanamke akamuashiria aende)

Ben:Β yule mwanamke ameniita!

Jose:Β Rafiki yangu, usiende. Nakutafadhalisha.

Ben:Β Kwa nini unaniambia nisiende Wakati mrembo kama yule ananiita? Huo ni wivu

Jose:Β Ben, Ninakutafadhalisha tena, usiende, tafadhali usiende kuleΒ (akihisi kutotiliwa maanani)

(Rafiki yake alimpuuza na alienda kwa yule mwanamke, mwanamke alishuka kukutana naye na wakapanda juu. Ghafla wakiwa wanataka kuanza taratibu za kula uroda, wakasikia mlio WA gari getini).. πŸ”ŠπŸ”Š

Lady:Β _(akiangalia kupitia dirishani)_
Oooh! Yule ni mume wangu!!

Ben:Β Mama yangu !
Nipo matatani, kweli ? ..!!

Lady:Β Usiwe na khofu, jifanye kuwa Dobi na anza kupiga pasi hizo nguo

(akimuonyesha lundo la nguo)

(Ben alitumia masaa matano kukamilisha kunyoosha zile nguo kwa sababu yule mume hakutoka tena siku ile)

(Siku iliyofuatia Ben alikwenda kwa Rafiki yake)

Ben:Β Kaka, unaweza kuamini Jana nimepiga pasi nguo kwa masaa matano???

Jose:Β Lakini nilikwambia usiende. Nguo zote hizo ulizonyoosha,Β Nilizifua Mimi Juzi!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

When an experienced person speaks … πŸ‘‚you must listen..!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Esther Cheruiyot (Guest) on July 18, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 13, 2024

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

John Mwangi (Guest) on July 13, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zulekha (Guest) on July 10, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nashon (Guest) on July 5, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Joyce Aoko (Guest) on June 28, 2024

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Issack (Guest) on May 15, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Agnes Njeri (Guest) on May 9, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on April 28, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Sumaya (Guest) on April 7, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mhina (Guest) on March 16, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Brian Karanja (Guest) on March 14, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on February 19, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Dorothy Nkya (Guest) on February 16, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Selemani (Guest) on February 11, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Ndoto (Guest) on February 5, 2024

πŸ˜† Kali sana!

Elizabeth Malima (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Faiza (Guest) on January 7, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Daniel Obura (Guest) on January 4, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on January 1, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Benjamin Kibicho (Guest) on December 17, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on November 30, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on November 25, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

James Malima (Guest) on November 7, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

David Kawawa (Guest) on October 14, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on September 9, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on September 1, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Tibaijuka (Guest) on August 31, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Jane Muthui (Guest) on August 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on July 14, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Yusuf (Guest) on May 24, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Rukia (Guest) on May 20, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Andrew Mchome (Guest) on May 19, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on May 17, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Mahiga (Guest) on May 13, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nancy Komba (Guest) on April 17, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Henry Mollel (Guest) on April 16, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Anna Mahiga (Guest) on April 2, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on March 29, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Shani (Guest) on March 27, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Victor Sokoine (Guest) on March 27, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on March 26, 2023

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Edward Chepkoech (Guest) on March 7, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mrope (Guest) on February 17, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on January 18, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 10, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on December 25, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on December 21, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on December 15, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on October 24, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mary Kendi (Guest) on October 21, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Khamis (Guest) on October 12, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Mwinuka (Guest) on September 7, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Ruth Mtangi (Guest) on July 9, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zawadi (Guest) on July 9, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Simon Kiprono (Guest) on May 12, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Agnes Njeri (Guest) on April 26, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on April 8, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joseph Kitine (Guest) on March 27, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on March 24, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More