Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Otieno (Guest) on July 31, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Susan Wangari (Guest) on July 18, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! 😂

Fredrick Mutiso (Guest) on July 10, 2017

Kweli mna ucheshi! 😂🤣

Peter Mugendi (Guest) on June 30, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! 😆👌

Janet Sumari (Guest) on June 21, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! 🏆

Diana Mallya (Guest) on May 19, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣

George Wanjala (Guest) on May 11, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆

Lucy Mahiga (Guest) on April 1, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! 😊😂

Anna Mchome (Guest) on March 20, 2017

😂 Nalia kwa kweli hapa!

Agnes Sumaye (Guest) on February 6, 2017

😅 Bado nacheka!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 18, 2017

Nimefurahia sana hii joke! 😅😂

Edith Cherotich (Guest) on January 5, 2017

🤣🤣👏😆

Maulid (Guest) on December 22, 2016

😅 Nilihitaji hii!

Monica Lissu (Guest) on November 24, 2016

😂 Ninashiriki mara moja!

David Nyerere (Guest) on November 11, 2016

😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Maulid (Guest) on October 22, 2016

😄 Kichekesho gani!

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 16, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂

Margaret Mahiga (Guest) on August 31, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅

Khadija (Guest) on August 16, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Baraka (Guest) on July 25, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Jaffar (Guest) on June 30, 2016

😆 Ninacheka sana sasa hivi!

Linda Karimi (Guest) on June 27, 2016

🤣🤣😂

Rubea (Guest) on May 24, 2016

😆 Kali sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 10, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Paul Ndomba (Guest) on March 13, 2016

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Michael Onyango (Guest) on March 6, 2016

Hii ni ya maana sana! 😂👌

Michael Mboya (Guest) on March 3, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😂😅

Michael Mboya (Guest) on March 2, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂

Margaret Mahiga (Guest) on February 20, 2016

😄 Kichekesho kamili!

Nancy Kawawa (Guest) on February 11, 2016

Hii imenifurahisha sana! 😊😅

Mariam Hassan (Guest) on January 31, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! 👏😆

Anna Malela (Guest) on January 28, 2016

Hii imenifurahisha kweli! 😆😂

Janet Sumaye (Guest) on January 5, 2016

Asante Ackyshine

Janet Mbithe (Guest) on December 9, 2015

Hii ni joke ya kipekee! 🤣👌

Stephen Malecela (Guest) on December 6, 2015

😄 Umenishika vizuri!

Jamila (Guest) on November 17, 2015

🤣 Nalia kwa kicheko kweli!

Paul Ndomba (Guest) on November 3, 2015

🤣😆😊😂

Nassor (Guest) on November 2, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂

Ramadhan (Guest) on November 1, 2015

🤣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Peter Mugendi (Guest) on October 26, 2015

😆😂👏

Miriam Mchome (Guest) on October 11, 2015

😅😊😂👏

Kheri (Guest) on September 4, 2015

😆 Naihifadhi hii!

Grace Wairimu (Guest) on September 2, 2015

😂 Hii ni kali sana!

Janet Mwikali (Guest) on July 15, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊

Mary Kendi (Guest) on July 13, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! 😊😂

Stephen Kangethe (Guest) on July 1, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! 😆

Frank Sokoine (Guest) on June 23, 2015

Mna talent ya jokes! 👏😂

George Mallya (Guest) on June 15, 2015

🤣🔥😊

David Sokoine (Guest) on June 1, 2015

😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Mahiga (Guest) on May 16, 2015

🤣👍👌

Esther Cheruiyot (Guest) on May 6, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😅

Martin Otieno (Guest) on April 29, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Janet Wambura (Guest) on April 22, 2015

🤣😄😊

Bakari (Guest) on April 21, 2015

😃 Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Chiku (Guest) on April 12, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! 📌

Francis Mtangi (Guest) on April 8, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! 😊😆

Related Posts

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

Sifa mbaya: Cheki kilichompata huyu mwanaume mpenda sifa

SIFA MBAYA…
Jamaa alikuwa ndani ya daladala Mara simu ikaita alikuwa ni mkewe kwa sifa jam... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdada Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More