Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Featured Image
Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ilikuwa kwenye shelf ya chini, wakati anainama apate kuitazama vizuri kwa bahati mbaya (au nzuri!), shuzi likamtoka- druuuuuu, soni ikamuingia huku akigeuka haraka kuangalia kama kuna yeyote dukani pale ameliskia shuzi lake, macho yakagongana na mwenye duka ambaye alikuwa karibu huku uso ukiwa umejaa tabasamu zito, mwana mama hakuwa na uhakika kama amesikika au hakusikika, akaona atumie nafasi ile kuyeyusha…Akauliza "Hii pete bei gani?" . Jamaa mwenye duka, huku akiangua kicheko, akajibu "Umeiona tu umejamba, je nikikuambia bei yake si utakunya kabisa?"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nuru (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on October 10, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Irene Akoth (Guest) on August 16, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on June 24, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Irene Akoth (Guest) on June 4, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on May 10, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Maimuna (Guest) on April 28, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Peter Mwambui (Guest) on March 28, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on March 27, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Margaret Anyango (Guest) on March 9, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on March 2, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Monica Nyalandu (Guest) on February 22, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mgeni (Guest) on February 18, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mary Mrope (Guest) on January 20, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Andrew Odhiambo (Guest) on January 18, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mgeni (Guest) on January 13, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Samuel Omondi (Guest) on January 3, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Thomas Mtaki (Guest) on December 24, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on December 19, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Sarah Mbise (Guest) on December 9, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on November 23, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on November 21, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Makena (Guest) on November 6, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on November 3, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on August 29, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Agnes Njeri (Guest) on August 27, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on August 20, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

John Malisa (Guest) on August 9, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Rose Lowassa (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jamal (Guest) on July 11, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on May 27, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on May 8, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on May 7, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on May 4, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 4, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joseph Njoroge (Guest) on March 22, 2016

🀣πŸ”₯😊

Stephen Amollo (Guest) on March 20, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on February 8, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on January 3, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on December 13, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on November 19, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Grace Majaliwa (Guest) on November 8, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joyce Mussa (Guest) on October 20, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

David Nyerere (Guest) on October 18, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Peter Otieno (Guest) on September 13, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on August 14, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mwachumu (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 23, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Violet Mumo (Guest) on July 22, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mariam Kawawa (Guest) on July 4, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on July 3, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Issack (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Kazija (Guest) on June 15, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sekela (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ann Wambui (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Related Posts

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More