Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Featured Image
Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ilikuwa kwenye shelf ya chini, wakati anainama apate kuitazama vizuri kwa bahati mbaya (au nzuri!), shuzi likamtoka- druuuuuu, soni ikamuingia huku akigeuka haraka kuangalia kama kuna yeyote dukani pale ameliskia shuzi lake, macho yakagongana na mwenye duka ambaye alikuwa karibu huku uso ukiwa umejaa tabasamu zito, mwana mama hakuwa na uhakika kama amesikika au hakusikika, akaona atumie nafasi ile kuyeyusha…Akauliza "Hii pete bei gani?" . Jamaa mwenye duka, huku akiangua kicheko, akajibu "Umeiona tu umejamba, je nikikuambia bei yake si utakunya kabisa?"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nuru (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on October 10, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Irene Akoth (Guest) on August 16, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on June 24, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Irene Akoth (Guest) on June 4, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on May 10, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Maimuna (Guest) on April 28, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Peter Mwambui (Guest) on March 28, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on March 27, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Margaret Anyango (Guest) on March 9, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on March 2, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Monica Nyalandu (Guest) on February 22, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mgeni (Guest) on February 18, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mary Mrope (Guest) on January 20, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Andrew Odhiambo (Guest) on January 18, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mgeni (Guest) on January 13, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Samuel Omondi (Guest) on January 3, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Thomas Mtaki (Guest) on December 24, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Edith Cherotich (Guest) on December 19, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Sarah Mbise (Guest) on December 9, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on November 23, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on November 21, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Makena (Guest) on November 6, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on November 3, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on August 29, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Agnes Njeri (Guest) on August 27, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on August 20, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

John Malisa (Guest) on August 9, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Rose Lowassa (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jamal (Guest) on July 11, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on May 27, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on May 8, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on May 7, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on May 4, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 4, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joseph Njoroge (Guest) on March 22, 2016

🀣πŸ”₯😊

Stephen Amollo (Guest) on March 20, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on February 8, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on January 3, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on December 13, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on November 19, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Grace Majaliwa (Guest) on November 8, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joyce Mussa (Guest) on October 20, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

David Nyerere (Guest) on October 18, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Peter Otieno (Guest) on September 13, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on August 14, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mwachumu (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 23, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Violet Mumo (Guest) on July 22, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mariam Kawawa (Guest) on July 4, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Vincent Mwangangi (Guest) on July 3, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Issack (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Kazija (Guest) on June 15, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sekela (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Ann Wambui (Guest) on April 3, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Related Posts

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More