Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!?





MLEVI; "Nakunywa bia tano!
MCHUNGAJI; "Bia moja bei gani!?
MLEVU; "2500/
MCHUNGAJI; "Ulianza lini kunywa bia!?
MLEVI; "Miaka 18 iliyopita!





MCHUNGAJI; "Kwa hiyo kwa siku unatumia zaidi ya 10,000??
MLEVI; "Ndio!
MCHUNGAJI; "Kama u gekuwa unatunza hiyo pesa 10,000 kwa siku leo hii si ungekuwa na Range Rover!?
MLEVI; "Samahani, naweza kukuuliza swali!?
MCHUNGAJI; "Uliza!
MLEVI; "Unakunywa bia!?
MCHUNGAJI; "Hapana!
MLEVI; "Nionyeshe Range Rover yako!
MCHUNGAJI; "akasepa"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kiwanga (Guest) on July 24, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Rahim (Guest) on July 15, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 11, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nassar (Guest) on June 21, 2024

πŸ˜† Kali sana!

George Ndungu (Guest) on June 16, 2024

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Fadhili (Guest) on June 14, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Leila (Guest) on June 11, 2024

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Sharon Kibiru (Guest) on May 15, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Anthony Kariuki (Guest) on May 15, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on April 28, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 12, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on March 21, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on March 18, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on January 23, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on January 17, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on January 15, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Achieng (Guest) on January 5, 2024

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nasra (Guest) on December 21, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Nora Lowassa (Guest) on December 13, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Rose Amukowa (Guest) on November 11, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on October 30, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on October 24, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Peter Tibaijuka (Guest) on October 14, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on October 13, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Shamim (Guest) on October 3, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mary Sokoine (Guest) on September 1, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on August 3, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Ann Awino (Guest) on August 2, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on July 15, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Mohamed (Guest) on July 11, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Rose Mwinuka (Guest) on May 19, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Shani (Guest) on May 15, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Omar (Guest) on May 5, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

David Sokoine (Guest) on April 11, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Joseph Kitine (Guest) on March 16, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on March 7, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on February 18, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mary Mrope (Guest) on February 6, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on January 3, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on December 20, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Jabir (Guest) on December 7, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Ruth Kibona (Guest) on December 2, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on December 1, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Agnes Njeri (Guest) on December 1, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Paul Kamau (Guest) on November 27, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

George Tenga (Guest) on November 8, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on October 19, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 24, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Charles Mrope (Guest) on September 16, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on August 3, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on June 1, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Mushi (Guest) on May 17, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Mary Sokoine (Guest) on April 13, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on March 30, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on February 27, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

David Chacha (Guest) on January 26, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mwanaidi (Guest) on January 17, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Stephen Mushi (Guest) on December 25, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Fredrick Mutiso (Guest) on December 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More