Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Featured Image
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha!
MKE; Vipi leo mbona mpole?
MUME; Ofisi yetu imeungua na watu wote waliokuwemo wamekufa.
MKE; Ilikuaje wewe ukapona?
MUME; Nilikua chooni jirani na ofisi najisaidia.
MKE; Loh maskini, familia zao itakuaje?
MUME; Watalipwa million 100 kila mfiwa.
MKE; KWA HASIRA, Ona sasa na wewe kunya kunya kwako umetukosesha mihela.. Ungeenda kunya akhera.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Grace Njuguna (Guest) on April 7, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Joyce Aoko (Guest) on March 6, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Elizabeth Mrope (Guest) on February 13, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Zakia (Guest) on January 29, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Nkya (Guest) on January 26, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on January 11, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Jabir (Guest) on January 9, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Sekela (Guest) on January 5, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Rabia (Guest) on December 16, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on December 4, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mchuma (Guest) on December 1, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Rahma (Guest) on December 1, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Charles Mchome (Guest) on November 29, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on October 31, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

David Musyoka (Guest) on October 22, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Umi (Guest) on September 12, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Anna Sumari (Guest) on September 10, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Elizabeth Mrema (Guest) on September 5, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on August 30, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Grace Njuguna (Guest) on June 20, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on June 3, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Benjamin Masanja (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on May 18, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Nasra (Guest) on May 17, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Grace Minja (Guest) on May 5, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on April 28, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on April 28, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

George Mallya (Guest) on April 12, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on April 8, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

John Malisa (Guest) on March 27, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Thomas Mtaki (Guest) on March 22, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Philip Nyaga (Guest) on March 20, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on February 22, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on January 27, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on January 12, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on December 27, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Nyerere (Guest) on December 22, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Charles Mrope (Guest) on December 16, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Fadhila (Guest) on December 13, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joyce Aoko (Guest) on December 6, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Husna (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Elizabeth Mtei (Guest) on November 7, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Alex Nyamweya (Guest) on November 6, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Kheri (Guest) on September 30, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Victor Kamau (Guest) on September 27, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Rubea (Guest) on September 6, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Anna Malela (Guest) on August 31, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on August 25, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on June 27, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

James Malima (Guest) on June 26, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Nasra (Guest) on June 22, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

James Kawawa (Guest) on June 22, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Furaha (Guest) on June 3, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mary Sokoine (Guest) on May 29, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Betty Cheruiyot (Guest) on April 7, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Kidata (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More