Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

Featured Image
1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!!!

2. Ka wafikiri Una haraka sana Shuka ukimbie.

3. Nauli kulipa lazima ,Chenji ukikumbuka.

4. Kutapika ndani ndani ya Daladala fain 250/= ,ukijamba pia 250/= ,Sasa jamba tukujue viti vina alarm!…

5.Hatujasema wewe ni Mnene ila Ukikalia SITI mbili Lipia….

6. Hio Elfu kumi yako nenda nunua avocado upake alafu uteleze hadi posta ,nauli ya daladala ni 350/=.

7. usifungue dirisha ungetaka upepo ungepanda pikipiki..

8. wewe Dada hebu sogea hukoo, Unaringa nini wakati asubuhi hii umeoga na sabuni ya kuoshea vyombo…
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Samson Mahiga (Guest) on May 29, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Safiya (Guest) on May 15, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nancy Kawawa (Guest) on May 12, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on May 11, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Aziza (Guest) on April 19, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Omari (Guest) on April 18, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

James Malima (Guest) on March 22, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Anna Mchome (Guest) on March 3, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on February 19, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Abdillah (Guest) on January 1, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Samuel Omondi (Guest) on December 31, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Ruth Mtangi (Guest) on December 27, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mariam Hassan (Guest) on December 20, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Omari (Guest) on December 19, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on November 29, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on November 20, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Josephine Nekesa (Guest) on November 13, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Monica Nyalandu (Guest) on September 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on September 10, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on August 22, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mgeni (Guest) on August 17, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Victor Kamau (Guest) on July 31, 2016

Asante Ackyshine

Ali (Guest) on July 20, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on June 25, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on June 18, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Robert Okello (Guest) on May 3, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 2, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on April 13, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Alice Jebet (Guest) on April 8, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on March 20, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 16, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 29, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joy Wacera (Guest) on February 25, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

James Kimani (Guest) on January 27, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on January 26, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Michael Mboya (Guest) on January 24, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Peter Mwambui (Guest) on December 8, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Susan Wangari (Guest) on December 1, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Patrick Mutua (Guest) on November 21, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on November 13, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Peter Mwambui (Guest) on November 7, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Nahida (Guest) on October 1, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Faith Kariuki (Guest) on September 2, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on August 6, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Issa (Guest) on July 31, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Ann Awino (Guest) on July 30, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Paul Kamau (Guest) on July 28, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Alice Mrema (Guest) on July 25, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mwagonda (Guest) on July 24, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Latifa (Guest) on July 15, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Joseph Kawawa (Guest) on July 2, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on June 2, 2015

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Nyerere (Guest) on May 23, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Ahmed (Guest) on May 14, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

John Lissu (Guest) on May 3, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Related Posts

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More