Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Featured Image
Mzee kaingia pharmacy,
MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa
MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye
kichupa kwenye kijiko na kumwambia mfamasia aonje, mfamasia akatia yale maji mdomoni na kuyazungusha zungusha mdomoni akionja;

MZEE: Nipe jibu, ina utamu wa sukari au chumvi au pilipili?
MFAMASIA: Kama chumvichumvi
MZEE: Hakuna sukari
MFAMASIA: Sukari hakuna kabisa
MZEE: Loh asante chukua hii alfu tano nashukuru sana, dokta alinambia nipime mkojo wangu kama nina kisukari, kumbe sina asante bwana mdogo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mariam Kawawa (Guest) on March 8, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Kijakazi (Guest) on March 5, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Jamal (Guest) on February 11, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sarah Mbise (Guest) on January 22, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on January 22, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Safiya (Guest) on January 21, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Margaret Mahiga (Guest) on January 18, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Zakia (Guest) on January 9, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Kenneth Murithi (Guest) on January 1, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mwanahawa (Guest) on December 28, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Christopher Oloo (Guest) on November 5, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on October 30, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Kawawa (Guest) on October 16, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on October 15, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on October 9, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Christopher Oloo (Guest) on October 8, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on September 14, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on September 4, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Maulid (Guest) on September 1, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 28, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on August 26, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

John Mwangi (Guest) on August 21, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Irene Makena (Guest) on August 9, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Stephen Amollo (Guest) on August 4, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Agnes Sumaye (Guest) on August 2, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Samuel Were (Guest) on July 9, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on June 16, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Anna Kibwana (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Peter Mwambui (Guest) on May 25, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Peter Mbise (Guest) on April 25, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Mariam (Guest) on April 2, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joseph Kitine (Guest) on March 29, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on March 15, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on March 6, 2016

😊🀣πŸ”₯

Moses Kipkemboi (Guest) on February 29, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on February 27, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mary Njeri (Guest) on February 24, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on January 30, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on November 27, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sharon Kibiru (Guest) on November 26, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

David Ochieng (Guest) on November 23, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rehema (Guest) on October 30, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Kahina (Guest) on October 19, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Charles Mchome (Guest) on October 10, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Warda (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

David Kawawa (Guest) on August 18, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on August 10, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on July 2, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Simon Kiprono (Guest) on June 21, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on May 19, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Biashara (Guest) on May 5, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on April 17, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on April 13, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Khatib (Guest) on April 8, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Related Posts

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More