Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Featured Image
Mtoto ni wa baba au wa mama?

Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani akae na mtoto.

MME: Akasimama akauliza hivi: Mheshimiwa hakimu hivi nikichukua ATM card nikaingiza kwenye mashine ikatoa pesa, sasa pesa zitakuwa ni za ATM au zakwangu?

MKE: Akasimama na kusema: Mheshimiwa hakimu hivi ukimwaga mbegu ktk shamba la mtu mti ukiota utakuwa wa kwako au wa mwenye shamba?.

Hebu tumsaidie hakimu aamue kesi hii…
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alex Nakitare (Guest) on June 27, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Michael Mboya (Guest) on June 16, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sharon Kibiru (Guest) on June 9, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on June 4, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Jamila (Guest) on May 30, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mary Kidata (Guest) on May 29, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Abubakar (Guest) on May 19, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Grace Minja (Guest) on May 17, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Tenga (Guest) on May 3, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on April 16, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on March 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on March 19, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on March 14, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Peter Mwambui (Guest) on January 25, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on January 14, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on November 22, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on November 12, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Moses Mwita (Guest) on November 3, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Monica Adhiambo (Guest) on October 31, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on September 20, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mwanais (Guest) on September 18, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Diana Mallya (Guest) on July 19, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on July 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on July 2, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

John Malisa (Guest) on June 1, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on May 24, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on May 23, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Safiya (Guest) on May 4, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Alice Mwikali (Guest) on April 27, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Andrew Mahiga (Guest) on April 24, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on April 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Sarah Karani (Guest) on April 22, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Amir (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Mushi (Guest) on April 5, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on March 15, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on February 27, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on February 5, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on February 1, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Khalifa (Guest) on January 16, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Omari (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Rose Amukowa (Guest) on December 10, 2015

🀣πŸ”₯😊

Esther Nyambura (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on November 11, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edward Lowassa (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Ruth Wanjiku (Guest) on September 26, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on September 9, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Zakia (Guest) on August 14, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sarah Achieng (Guest) on July 28, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on July 18, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Charles Mchome (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Henry Mollel (Guest) on June 20, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mazrui (Guest) on June 18, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Joy Wacera (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 15, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Kijakazi (Guest) on May 8, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Kevin Maina (Guest) on May 6, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Sarah Karani (Guest) on April 1, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Related Posts

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More