Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?





HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hakuna kitu kama hicho.





WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anakaa kama Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Betty Cheruiyot (Guest) on November 7, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Anthony Kariuki (Guest) on October 25, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on October 20, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on October 1, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on September 29, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Hawa (Guest) on September 11, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Fredrick Mutiso (Guest) on September 10, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rashid (Guest) on August 21, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Wilson Ombati (Guest) on August 16, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Agnes Sumaye (Guest) on July 26, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on July 25, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Francis Mtangi (Guest) on June 4, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

George Wanjala (Guest) on May 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Stephen Kangethe (Guest) on May 9, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Furaha (Guest) on April 27, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nancy Akumu (Guest) on April 9, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on March 3, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rabia (Guest) on February 17, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on February 2, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on November 29, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alex Nakitare (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Andrew Mahiga (Guest) on September 9, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joyce Aoko (Guest) on July 22, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Anna Mahiga (Guest) on July 10, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Mwanaidi (Guest) on June 27, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on May 22, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Francis Mrope (Guest) on May 15, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on May 11, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Halimah (Guest) on April 22, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Robert Ndunguru (Guest) on April 21, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Makame (Guest) on April 18, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Carol Nyakio (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Amina (Guest) on April 9, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Waithera (Guest) on April 3, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mariam Hassan (Guest) on March 13, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Fadhila (Guest) on February 19, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lydia Mutheu (Guest) on January 1, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Lissu (Guest) on December 26, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Christopher Oloo (Guest) on November 20, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Charles Mrope (Guest) on November 15, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Francis Mtangi (Guest) on October 29, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on October 25, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jaffar (Guest) on October 14, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Victor Malima (Guest) on September 20, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mary Kendi (Guest) on September 19, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Kahina (Guest) on September 14, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mercy Atieno (Guest) on September 9, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

George Tenga (Guest) on September 6, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Lucy Kimotho (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Francis Mrope (Guest) on August 15, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Halima (Guest) on July 28, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Jane Muthui (Guest) on July 25, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Henry Mollel (Guest) on June 15, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

David Musyoka (Guest) on June 4, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on May 31, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on May 15, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 22, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More