Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?





ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe Nehemiah ??
Nehemiah : mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"
Akameza mate kisha akaendelea….
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa Nehemiah .!!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Malima (Guest) on March 2, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Shamim (Guest) on February 22, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Jafari (Guest) on February 17, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Abdillah (Guest) on February 1, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Omar (Guest) on January 23, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Peter Mbise (Guest) on January 14, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on December 25, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Omar (Guest) on December 17, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Josephine Nekesa (Guest) on December 13, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Kevin Maina (Guest) on December 9, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Charles Wafula (Guest) on December 5, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Nyerere (Guest) on December 3, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Betty Kimaro (Guest) on November 18, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on October 28, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Charles Mrope (Guest) on October 25, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Grace Mushi (Guest) on October 21, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Zakaria (Guest) on October 2, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Victor Sokoine (Guest) on September 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on September 8, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on September 6, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on August 27, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Janet Sumari (Guest) on August 27, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

David Sokoine (Guest) on August 25, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 20, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Patrick Akech (Guest) on August 12, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on August 12, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Grace Majaliwa (Guest) on August 4, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 5, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Kevin Maina (Guest) on June 30, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Patrick Akech (Guest) on June 28, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on June 24, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Monica Adhiambo (Guest) on June 18, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on June 11, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on June 10, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Wairimu (Guest) on May 21, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on April 27, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Zubeida (Guest) on March 14, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on March 2, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Azima (Guest) on February 18, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Elizabeth Mrema (Guest) on February 14, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Fredrick Mutiso (Guest) on February 3, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Majid (Guest) on February 2, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Fadhila (Guest) on January 29, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Alice Wanjiru (Guest) on January 20, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on January 14, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Alice Mwikali (Guest) on January 8, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on November 24, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Elizabeth Mrema (Guest) on November 22, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Grace Njuguna (Guest) on November 9, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Anthony Kariuki (Guest) on September 20, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Wanyama (Guest) on September 15, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Mchome (Guest) on July 25, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Janet Mbithe (Guest) on July 10, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Abubakari (Guest) on July 3, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

James Kawawa (Guest) on April 22, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on April 4, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Related Posts

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More