Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Featured Image

Binti: Hallow mpenzi, Mambo





Jamaa: Poa baby





Binti:Uko wapi?





Jamaa: Niko town napata lunch





Binti: Wow unarudi saa ngap? Nina njaa dear naomba uniletee msosi





Jamaa: Narudi baada ya nusu saa nikuletee nini?





Binti: Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne ya kukaangwa pembeni, baga, piza, coke take away baridi, mkate wa moto kwenye ile bekari ya wapemba na maji ya kunywa ya kiimanjaro.





Jamaa:Umesahau viti, meza, masufuria, sahani na beseni na vijiko.





Binti: Kwanini dear?





Jamaa: Naona hutaki kula unataka kufungua hoteli!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Martin Otieno (Guest) on October 22, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

George Tenga (Guest) on August 22, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on June 22, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Tabitha Okumu (Guest) on May 27, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Nora Lowassa (Guest) on May 12, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on May 6, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Andrew Odhiambo (Guest) on April 27, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on March 7, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mwanahawa (Guest) on March 2, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Samuel Were (Guest) on February 27, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Daniel Obura (Guest) on February 25, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nancy Akumu (Guest) on February 4, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Hashim (Guest) on January 29, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on January 25, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on December 13, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Jebet (Guest) on December 6, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 6, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Elizabeth Mrema (Guest) on November 15, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on November 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Fredrick Mutiso (Guest) on November 5, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Ibrahim (Guest) on September 21, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on September 1, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mariam Kawawa (Guest) on August 16, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on August 6, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Dorothy Nkya (Guest) on July 16, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Grace Mligo (Guest) on July 16, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on July 5, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on July 4, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Stephen Malecela (Guest) on June 21, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Rose Mwinuka (Guest) on June 18, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on May 31, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on May 1, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Francis Mtangi (Guest) on April 29, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on April 8, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Elizabeth Malima (Guest) on March 30, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Issa (Guest) on March 29, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Nancy Kawawa (Guest) on March 21, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Faith Kariuki (Guest) on March 21, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on March 14, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Lucy Wangui (Guest) on February 22, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Wande (Guest) on February 14, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

George Tenga (Guest) on February 7, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Halima (Guest) on February 4, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

James Malima (Guest) on January 21, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on December 29, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Brian Karanja (Guest) on December 24, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Daudi (Guest) on November 17, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Wairimu (Guest) on November 8, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 25, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on September 10, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on August 26, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on July 28, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Joyce Nkya (Guest) on July 7, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on June 26, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on June 21, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Lowassa (Guest) on April 7, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Related Posts

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?