Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Featured Image

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofika usiku unatakakutoka kwenda kujisaidi kwasababu taa zimezimwa unapamia vyombo vya chakula sebleni kipindi unajalibu kupapasa uviweke sawa mala taa inawashwa na mama mkwe anaona umeshika vyombo anakwambia, baba kama ukushiba ungesema

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Abubakari (Guest) on March 9, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Amani (Guest) on February 13, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on February 12, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 7, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Josephine Nduta (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Anna Mahiga (Guest) on January 9, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on December 29, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on December 20, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Lissu (Guest) on December 14, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Sumaye (Guest) on November 16, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joyce Aoko (Guest) on October 29, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Henry Sokoine (Guest) on October 27, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Abdullah (Guest) on October 26, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Irene Makena (Guest) on October 6, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on October 5, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on October 2, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

David Kawawa (Guest) on September 30, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Paul Ndomba (Guest) on July 14, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mwinyi (Guest) on July 13, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 30, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Michael Onyango (Guest) on June 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

James Malima (Guest) on May 29, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mustafa (Guest) on May 25, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Elizabeth Malima (Guest) on March 7, 2016

😊🀣πŸ”₯

Ann Awino (Guest) on March 4, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Peter Mugendi (Guest) on March 4, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

James Kimani (Guest) on February 2, 2016

Asante Ackyshine

Violet Mumo (Guest) on January 19, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on December 30, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Margaret Anyango (Guest) on December 13, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Lucy Mahiga (Guest) on November 28, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Alice Mwikali (Guest) on November 26, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Paul Kamau (Guest) on November 15, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Elijah Mutua (Guest) on November 13, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Makena (Guest) on November 13, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Mary Mrope (Guest) on November 10, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on November 6, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Zainab (Guest) on October 29, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Aziza (Guest) on October 27, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Patrick Kidata (Guest) on October 4, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zakaria (Guest) on September 1, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Christopher Oloo (Guest) on August 26, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Stephen Malecela (Guest) on August 21, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Fredrick Mutiso (Guest) on August 14, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on August 9, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rose Amukowa (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Grace Wairimu (Guest) on July 7, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on June 23, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on June 10, 2015

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Monica Lissu (Guest) on June 6, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Nancy Akumu (Guest) on May 27, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Mwinyi (Guest) on May 20, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joyce Aoko (Guest) on May 19, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on May 17, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Faith Kariuki (Guest) on May 7, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mhina (Guest) on April 25, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Esther Nyambura (Guest) on April 9, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More