Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Featured Image

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?
JAMAA: Ndio, kamba lakini kule mwisho kulikuwa kumefungwa ng'ombe
PADRI: Kwa hiyo uliiba ng'ombe?
JAMAA: Kiukweli nilikuwa nina lengo la kuiba kamba, kwa bahati mbaya mwisho kulikuwa na ng'ombe
PADRI: Mi naona mueleze Mungu direct, mi sikuelewi kabisaaa

πŸ™ˆπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‚πŸ™Š

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Akech (Guest) on February 9, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on January 24, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Majaliwa (Guest) on January 13, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Omar (Guest) on January 12, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Zakia (Guest) on December 26, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Esther Nyambura (Guest) on December 18, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Omar (Guest) on November 22, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Stephen Amollo (Guest) on November 15, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Nancy Komba (Guest) on November 6, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on September 26, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on September 16, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Chum (Guest) on September 10, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Victor Mwalimu (Guest) on September 10, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Ochieng (Guest) on August 23, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Patrick Kidata (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Faith Kariuki (Guest) on August 5, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on July 29, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on July 29, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Diana Mallya (Guest) on July 18, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on July 7, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on June 28, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mchawi (Guest) on June 21, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Moses Mwita (Guest) on June 4, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Betty Akinyi (Guest) on May 28, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on May 12, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on May 6, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mhina (Guest) on April 11, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Josephine Nduta (Guest) on April 5, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on March 15, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Benjamin Masanja (Guest) on March 7, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on February 13, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Robert Okello (Guest) on February 12, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on February 7, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on February 2, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Lydia Mutheu (Guest) on January 18, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Wairimu (Guest) on January 13, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Edward Chepkoech (Guest) on December 13, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on November 15, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Victor Sokoine (Guest) on November 7, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Halima (Guest) on October 4, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on September 24, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Edward Chepkoech (Guest) on September 8, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on September 4, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Halimah (Guest) on September 1, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on August 11, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on August 10, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on August 6, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mwalimu (Guest) on July 29, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Richard Mulwa (Guest) on July 14, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Edward Lowassa (Guest) on June 20, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Athumani (Guest) on June 11, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Sokoine (Guest) on April 27, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Bakari (Guest) on April 9, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 8, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Samson Mahiga (Guest) on April 7, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Related Posts

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More