Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Featured Image

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake akaanza kuonekana tofauti kama vile anajiskia vibaya. Akaenda chumbani. Baada ya muda mfupi yule mkaka akamfuata. Wakakaa sana huko kisha mkaka akarudi sebuleni kuendelea kuongea na mama yake. Lakini zipu ya suruali yake ilikuwa wazi. Mama akamuuliza, mkeo anaendeleaje? Akamuambia, anajisikia vzr sasa. Nimempa panadol. Mama akatabasamu na kumwambia mwanaye, sawa. Lakini siku nyingine ukishatoa panadol ukumbuke kufunga pharmacyπŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Irene Makena (Guest) on June 10, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on May 31, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on May 4, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Victor Kimario (Guest) on April 16, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Stephen Amollo (Guest) on April 1, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on March 14, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on March 10, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Juma (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Andrew Mchome (Guest) on February 18, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on February 12, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rehema (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Ann Awino (Guest) on December 18, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Ruth Mtangi (Guest) on December 16, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on December 15, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Ruth Kibona (Guest) on December 7, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Kiza (Guest) on October 22, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Diana Mumbua (Guest) on October 20, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on September 15, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Hashim (Guest) on September 8, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kawawa (Guest) on August 22, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

John Mushi (Guest) on August 4, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rubea (Guest) on July 29, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

George Ndungu (Guest) on July 7, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Shamim (Guest) on June 6, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Kenneth Murithi (Guest) on June 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

George Ndungu (Guest) on June 2, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Elizabeth Mrema (Guest) on June 2, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on June 2, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Betty Kimaro (Guest) on May 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on May 13, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kiwanga (Guest) on May 11, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Majid (Guest) on April 27, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Elizabeth Mtei (Guest) on March 25, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Esther Cheruiyot (Guest) on March 24, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on March 19, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mwanahawa (Guest) on March 7, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Victor Malima (Guest) on March 5, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

James Kawawa (Guest) on February 12, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

George Tenga (Guest) on February 5, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on January 4, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on December 13, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on December 11, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Anthony Kariuki (Guest) on October 10, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Linda Karimi (Guest) on October 5, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on September 24, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Linda Karimi (Guest) on September 17, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Alice Wanjiru (Guest) on August 20, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Victor Malima (Guest) on July 25, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 18, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Furaha (Guest) on July 15, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

George Mallya (Guest) on May 28, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rashid (Guest) on May 16, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on April 29, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on April 10, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Related Posts

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More