Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Featured Image

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake akaanza kuonekana tofauti kama vile anajiskia vibaya. Akaenda chumbani. Baada ya muda mfupi yule mkaka akamfuata. Wakakaa sana huko kisha mkaka akarudi sebuleni kuendelea kuongea na mama yake. Lakini zipu ya suruali yake ilikuwa wazi. Mama akamuuliza, mkeo anaendeleaje? Akamuambia, anajisikia vzr sasa. Nimempa panadol. Mama akatabasamu na kumwambia mwanaye, sawa. Lakini siku nyingine ukishatoa panadol ukumbuke kufunga pharmacyπŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Irene Makena (Guest) on June 10, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on May 31, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on May 4, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Victor Kimario (Guest) on April 16, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Stephen Amollo (Guest) on April 1, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on March 14, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on March 10, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Juma (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Andrew Mchome (Guest) on February 18, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on February 12, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rehema (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Ann Awino (Guest) on December 18, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Ruth Mtangi (Guest) on December 16, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on December 15, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Ruth Kibona (Guest) on December 7, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Kiza (Guest) on October 22, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Diana Mumbua (Guest) on October 20, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on September 15, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Hashim (Guest) on September 8, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kawawa (Guest) on August 22, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

John Mushi (Guest) on August 4, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rubea (Guest) on July 29, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

George Ndungu (Guest) on July 7, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Shamim (Guest) on June 6, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Kenneth Murithi (Guest) on June 4, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

George Ndungu (Guest) on June 2, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Elizabeth Mrema (Guest) on June 2, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on June 2, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Betty Kimaro (Guest) on May 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on May 13, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kiwanga (Guest) on May 11, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Majid (Guest) on April 27, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Elizabeth Mtei (Guest) on March 25, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Esther Cheruiyot (Guest) on March 24, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on March 19, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mwanahawa (Guest) on March 7, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Victor Malima (Guest) on March 5, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

James Kawawa (Guest) on February 12, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

George Tenga (Guest) on February 5, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on January 4, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on December 13, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on December 11, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Anthony Kariuki (Guest) on October 10, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Linda Karimi (Guest) on October 5, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on September 24, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Linda Karimi (Guest) on September 17, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Alice Wanjiru (Guest) on August 20, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Victor Malima (Guest) on July 25, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 18, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Furaha (Guest) on July 15, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

George Mallya (Guest) on May 28, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rashid (Guest) on May 16, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on April 29, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on April 10, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Related Posts

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More