Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Featured Image

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bahati yake.
DADA:Mambo? KAKA:Poa.
DADA:Mimi na wewe tunaweza kuongea baade?
KAKA:Kuhusu nini?
DADA:Nimekupenda nataka nikutoe out.
KAKA:Sawa ila nitamwambia nini
MKE wangu?
DADA:Aah ilo sio tatizo mdanganye tu,mwambie unakwenda kumtembelea rafiki yako hospitalini.
KAKA:Mwambie mwenyewe huyo hapo anayekusuka.

Β 

Unajua nn kiliendelea?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alice Wanjiru (Guest) on July 12, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 10, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 4, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Carol Nyakio (Guest) on May 25, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Mzee (Guest) on May 23, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Robert Okello (Guest) on May 14, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Josephine (Guest) on March 19, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Paul Kamau (Guest) on March 7, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 10, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Faith Kariuki (Guest) on December 18, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 12, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on December 5, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Philip Nyaga (Guest) on November 20, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ibrahim (Guest) on November 19, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Agnes Njeri (Guest) on November 4, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Shabani (Guest) on October 25, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on October 15, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on September 29, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on September 22, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Zakaria (Guest) on August 5, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Mutua (Guest) on July 26, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Ann Wambui (Guest) on July 24, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on June 4, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Jane Malecela (Guest) on May 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on April 27, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 8, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Mashaka (Guest) on March 13, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Andrew Mahiga (Guest) on February 29, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on February 22, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on February 4, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on January 7, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mwanahawa (Guest) on December 22, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Diana Mumbua (Guest) on December 20, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on December 14, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kenneth Murithi (Guest) on November 6, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Makame (Guest) on October 28, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Miriam Mchome (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Elizabeth Mrope (Guest) on October 10, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jabir (Guest) on September 26, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sarafina (Guest) on September 6, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on August 31, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jane Muthoni (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Masika (Guest) on June 27, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Fadhila (Guest) on June 21, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Janet Mbithe (Guest) on June 16, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Catherine Naliaka (Guest) on June 14, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on June 12, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on May 31, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on May 26, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sarah Mbise (Guest) on May 20, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Samuel Were (Guest) on May 3, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

David Ochieng (Guest) on April 24, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Sumaye (Guest) on April 13, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Related Posts

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Huyu bibi kazidi sasa

Huyu bibi kazidi sasa

Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu,

Kainuka na kuanza k... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More