Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Featured Image

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bahati yake.
DADA:Mambo? KAKA:Poa.
DADA:Mimi na wewe tunaweza kuongea baade?
KAKA:Kuhusu nini?
DADA:Nimekupenda nataka nikutoe out.
KAKA:Sawa ila nitamwambia nini
MKE wangu?
DADA:Aah ilo sio tatizo mdanganye tu,mwambie unakwenda kumtembelea rafiki yako hospitalini.
KAKA:Mwambie mwenyewe huyo hapo anayekusuka.

Β 

Unajua nn kiliendelea?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alice Wanjiru (Guest) on July 12, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 10, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 4, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Carol Nyakio (Guest) on May 25, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Mzee (Guest) on May 23, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Robert Okello (Guest) on May 14, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Josephine (Guest) on March 19, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Paul Kamau (Guest) on March 7, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 10, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Faith Kariuki (Guest) on December 18, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 12, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on December 5, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Philip Nyaga (Guest) on November 20, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ibrahim (Guest) on November 19, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Agnes Njeri (Guest) on November 4, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Shabani (Guest) on October 25, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on October 15, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on September 29, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on September 22, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Zakaria (Guest) on August 5, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Mutua (Guest) on July 26, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Ann Wambui (Guest) on July 24, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on June 4, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Jane Malecela (Guest) on May 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on April 27, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 8, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Mashaka (Guest) on March 13, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Andrew Mahiga (Guest) on February 29, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on February 22, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on February 4, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on January 7, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mwanahawa (Guest) on December 22, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Diana Mumbua (Guest) on December 20, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on December 14, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kenneth Murithi (Guest) on November 6, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Makame (Guest) on October 28, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Miriam Mchome (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Elizabeth Mrope (Guest) on October 10, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jabir (Guest) on September 26, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sarafina (Guest) on September 6, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on August 31, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jane Muthoni (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Masika (Guest) on June 27, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Fadhila (Guest) on June 21, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Janet Mbithe (Guest) on June 16, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Catherine Naliaka (Guest) on June 14, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on June 12, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on May 31, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on May 26, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sarah Mbise (Guest) on May 20, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Samuel Were (Guest) on May 3, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

David Ochieng (Guest) on April 24, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Sumaye (Guest) on April 13, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Related Posts

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More