Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Featured Image

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume kilichomshituaπŸ˜‚πŸ˜‚
2. Kwenye kupenda; mwanaume huanza kutamani alafu hupenda, mwanamke huanza kupenda moja kwa moja bila kumjua vizuri huyo ampendaeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
3.Kwenye kusaidia; mwanaume hutoa msaada alafu uhuzunika, mwanamke huuzunika badae ndo anakumbuka km msaada unahitajikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
4.Kwenye maamuzi; mwanaume hufikiri ndipo hutenda, mwanamke hutenda halafu hufikiriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
5.Kwenye kudanganya; Mwanaume hudanganya ili kumlinda mwanamke, mwanamke hudanganya ili kumkomoa mwanaumeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
6.Kwenye ugomvi; wanaume hupigana halafu hueshimiana, wanawake hupiga mikelele alafu kila mmoja hurud kwake, kexho tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
7.Kwenye ndoa; mwanaume hutafuta maixha ndipo huoa, mwanamke huolewa ndipo atafute maishaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
8.Kwenye kukata tamaa; mwanaume hukata tamaa mapema ili jambo lisimsumbue, mwanamke hajui kukata tamaa hadi aumizweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
9.Kwenye kula;Mwanaume hushiba alafu huanza madoido, mwanamke huanza na madoido alafu badae hujilaumu hakushibaπŸ˜‚πŸ˜‚
10.Kwenye siri; Mwanaume hutunza siri hasa za aibu, mwanamke humueleza shoga yake badae hugombana nae baada ya kumrudia mwenyewe kwa siku 2 tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hizi ni baadhi tu ya sifa tofauti kati ya mwanaume na mwanamke….. VIVA GENTLEMENπŸ‘ŠπŸ½πŸ‘Š

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ruth Wanjiku (Guest) on March 22, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on March 19, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

David Kawawa (Guest) on February 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Shukuru (Guest) on January 27, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on January 22, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Catherine Mkumbo (Guest) on December 27, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mohamed (Guest) on December 20, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Asha (Guest) on December 15, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Emily Chepngeno (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Betty Cheruiyot (Guest) on November 24, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on November 24, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Issack (Guest) on October 18, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Mwalimu (Guest) on October 3, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on September 26, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on September 21, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Anna Mchome (Guest) on September 18, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lucy Wangui (Guest) on August 30, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Miriam Mchome (Guest) on August 16, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Stephen Malecela (Guest) on July 28, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on July 10, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on July 10, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

James Kimani (Guest) on July 4, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Wilson Ombati (Guest) on May 12, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Grace Majaliwa (Guest) on May 6, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Victor Kimario (Guest) on May 2, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lucy Wangui (Guest) on April 24, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Alex Nyamweya (Guest) on April 20, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Grace Njuguna (Guest) on March 29, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on March 5, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on February 11, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on February 11, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Thomas Mtaki (Guest) on February 6, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Mkumbo (Guest) on February 2, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Farida (Guest) on January 21, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Edwin Ndambuki (Guest) on January 13, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Kendi (Guest) on January 7, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Were (Guest) on November 27, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on November 21, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ann Wambui (Guest) on November 15, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on November 9, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on October 30, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on October 14, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Masika (Guest) on October 9, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Elijah Mutua (Guest) on October 3, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Alice Jebet (Guest) on August 31, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on August 29, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Edward Chepkoech (Guest) on August 19, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 15, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 6, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mary Kidata (Guest) on July 2, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on June 30, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

John Mwangi (Guest) on April 25, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Alice Jebet (Guest) on April 21, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on April 14, 2015

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒοΏ½... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More