Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mjini shule. Soma hii

Featured Image

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Baada ya wiki moja nampigia simu hapokei simu zangu, nimempigia zaidi ya mara kumi (10) bila ya mafanikio!

Kila nikimpigia simu hajibu simu zangu, nikahamua kumwandikia message kwa WhatsApp…!

_Hello Mamu, Nakupigia simu sio kukudai pesa zangu, ila nataka kukwambia kuwa hapa Ubungo Plaza kuna wadada wawili walikuwa wanapigana kumgombea Mumeo (Baba Nang'oto). Ilikuwa vuta nikuvute na mumeo alikuwa kasimama tu anawaangalia akitabasamu. Baada ugomvi kwisha akaondoka na mmoja wao na kumwacha yule mwingine akitukana matusi kama ana akili nzuri._

β€”
_*Kisha nikaituma ile message*_

Baada ya dakika kama mbili hivi, akanipigia simu nami wala sikupokea simu yake… Akapiga tena na tena kama mara ishirini hivi wala sikupokea.

*Akatuma message akiniuliza…*

_Hao wanawake unawajuwa, …mume wangu na huyo mwanamke wameelekea wapi, wewe unawajuwa hao wanawake waliopigana, yaani hapa nimechanganyikiwa kwa kweli…!_

Nikaisoma message yake wala sikuijibu, nikamchunia kimyaaa…!

Akanipigia tena simu mara tano, sikupokea simu zake, kimyaaa…! Akaniandikia message nyingine….

*…Nakupigia jamani pokea simu basi nina pesa zako nataka nikupe… Naomba basi tukutane mjini unihadithie vizuri…!*

Nami nikamjibu…

_Nitumie hizo pesa kwenye Namba yangu ya Mpesa, ili nipitie sheli kujaza mafuta nije mjini kukupitia nikupeleke mahala walipo…!_

Baada ya dakika 2 message ikaingia, kuangalia balance yangu ya Mpesa, nikakuta kaingiza pesa zangu zote ninazo mdai…!

Nikazima simu nikajilalia zangu kimyaaa…. Kama sio mie!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kahina (Guest) on July 12, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Mgeni (Guest) on July 8, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Josephine Nduta (Guest) on June 30, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on April 27, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Simon Kiprono (Guest) on March 7, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on February 10, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Patrick Kidata (Guest) on February 3, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mazrui (Guest) on January 26, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Jacob Kiplangat (Guest) on January 26, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 20, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Kawawa (Guest) on January 9, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on December 23, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Irene Makena (Guest) on December 21, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

George Wanjala (Guest) on November 14, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

David Chacha (Guest) on November 3, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Joyce Nkya (Guest) on September 3, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on August 13, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Faith Kariuki (Guest) on August 12, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on August 7, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on July 31, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Amani (Guest) on July 14, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Mbise (Guest) on July 13, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Khalifa (Guest) on June 26, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 17, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Benjamin Masanja (Guest) on June 8, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Peter Mwambui (Guest) on May 31, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nassor (Guest) on May 25, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Charles Mrope (Guest) on May 24, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on May 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on May 12, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on April 17, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on April 6, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Monica Lissu (Guest) on April 5, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Vincent Mwangangi (Guest) on March 29, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 19, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on March 5, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Joseph Njoroge (Guest) on February 8, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on December 28, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Irene Akoth (Guest) on December 24, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on December 18, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on December 12, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on November 27, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Zulekha (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Odhiambo (Guest) on October 26, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on October 10, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 20, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Wafula (Guest) on September 10, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Violet Mumo (Guest) on August 14, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on August 5, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwalimu (Guest) on August 2, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Susan Wangari (Guest) on July 17, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Asha (Guest) on July 14, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lucy Mahiga (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

James Malima (Guest) on May 12, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Paul Kamau (Guest) on April 1, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Related Posts

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Huyu mlinzi bwana

Huyu mlinzi bwana

High school Flashback!!
.
Watchman : Amkeni muende morning preps.
Allan : Mimi ni ... Read More

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More