Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Kidata (Guest) on April 12, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Tambwe (Guest) on March 23, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Victor Mwalimu (Guest) on March 11, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Michael Mboya (Guest) on February 23, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Janet Sumari (Guest) on February 21, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Janet Sumari (Guest) on February 6, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on January 12, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Ruth Wanjiku (Guest) on January 3, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on December 29, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joyce Mussa (Guest) on December 28, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Mgeni (Guest) on December 14, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mariam Kawawa (Guest) on December 13, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Chiku (Guest) on December 8, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Vincent Mwangangi (Guest) on December 7, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Irene Makena (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

John Lissu (Guest) on November 17, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Khadija (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Joy Wacera (Guest) on October 21, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on September 27, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Ibrahim (Guest) on August 14, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

David Musyoka (Guest) on August 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mahiga (Guest) on August 4, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on July 29, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Chum (Guest) on July 26, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Joseph Kawawa (Guest) on June 22, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Issa (Guest) on June 11, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Paul Ndomba (Guest) on May 8, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on March 18, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Kijakazi (Guest) on March 18, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lydia Mutheu (Guest) on February 7, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Michael Mboya (Guest) on January 27, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on January 23, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Edith Cherotich (Guest) on December 24, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Shamsa (Guest) on December 21, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nyota (Guest) on December 17, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Grace Njuguna (Guest) on December 2, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kijakazi (Guest) on November 22, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Sarafina (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Monica Lissu (Guest) on November 8, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on October 26, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Benjamin Kibicho (Guest) on October 22, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on September 7, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Abdillah (Guest) on August 28, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Kamau (Guest) on August 11, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Baraka (Guest) on August 10, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mwanakhamis (Guest) on August 10, 2015

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Shukuru (Guest) on August 5, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on July 17, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Mahiga (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sekela (Guest) on June 7, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Dorothy Nkya (Guest) on May 29, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mligo (Guest) on May 6, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on April 22, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Related Posts

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More