Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Featured Image

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusaidie nini?
MLEVI: Eeh! nipe bia ya baridi kisaha wasikilize wote waliokaa hapa, wape bia na wao maana sipendi kunywa pombe wengine wananiangalia
Akaja mhudumu wa jikoni "nikusaidie nini?"

MLEVI: Niletee supu kisha wasikilize wote waliokaa hapa na wao wape supu sipendi kunywa supu watu wananiangalia
Safari hii watu wakapiga makofi
Baadae akamuita mhudumu
MLEVI: Niandikie bili zangu kisha waandikie wote bili zao sipendi kulipa huku watu wananiangalia

Wale wateja wakamvaa na kumshushia kichapo… teh teh teh teh teh hii kali hakuna cha bure mjini hahahaha na jasho la mtu haliliwi wandugu

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Mduma (Guest) on July 7, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Kazija (Guest) on July 6, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Yusuf (Guest) on July 6, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Paul Kamau (Guest) on June 28, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on June 28, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Jaffar (Guest) on May 21, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on May 4, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

John Malisa (Guest) on April 27, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Stephen Kikwete (Guest) on March 23, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on March 18, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on March 12, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jamila (Guest) on February 19, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Vincent Mwangangi (Guest) on February 1, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Jamal (Guest) on January 29, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Ann Awino (Guest) on January 20, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on January 13, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Victor Sokoine (Guest) on January 10, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Shamsa (Guest) on December 28, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Andrew Odhiambo (Guest) on December 5, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nora Kidata (Guest) on November 27, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Anna Kibwana (Guest) on November 26, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Chiku (Guest) on November 2, 2016

Asante Ackyshine

Grace Wairimu (Guest) on October 20, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on October 15, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on October 1, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on August 24, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Betty Kimaro (Guest) on August 24, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on August 12, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on August 3, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Alice Mrema (Guest) on July 16, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Lowassa (Guest) on July 13, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Kikwete (Guest) on July 12, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on July 11, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on June 28, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarafina (Guest) on June 15, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Miriam Mchome (Guest) on June 12, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on June 2, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Martin Otieno (Guest) on May 25, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Dorothy Nkya (Guest) on May 20, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Agnes Njeri (Guest) on May 3, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on April 24, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Agnes Lowassa (Guest) on March 13, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Elizabeth Mrema (Guest) on March 7, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Benjamin Masanja (Guest) on December 8, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on November 30, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Alex Nakitare (Guest) on November 18, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

David Ochieng (Guest) on November 18, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on November 13, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on September 8, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Hashim (Guest) on August 19, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Grace Njuguna (Guest) on August 18, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on August 17, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on August 4, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Janet Sumaye (Guest) on June 14, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Fikiri (Guest) on June 9, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Monica Lissu (Guest) on April 19, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Related Posts

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More