Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Featured Image
Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla
akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye A.T.M binti
akaamua kujificha na kumtumia boyfriend wake sms ya
kimahaba
"Honey kama upo nyumbani umelala naomba unitumie ndoto
zako,
Kama unakula nitumie chakula, Kama unacheka nitumie kicheko
chako,
Kama unalia nitumie machozi yako,Kama unatoa pesa kwenye
A.T.M nitumie pesa." Boyfriend akajibu "NIKO CHOONI LABDA
NIKUTUMIE KINYESI MPENZI!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Khamis (Guest) on April 29, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Betty Akinyi (Guest) on March 23, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on March 18, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on March 5, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Peter Mwambui (Guest) on March 4, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Betty Kimaro (Guest) on February 23, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Peter Tibaijuka (Guest) on January 31, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on January 18, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

George Mallya (Guest) on January 5, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Stephen Kangethe (Guest) on December 28, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Maneno (Guest) on December 15, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Jafari (Guest) on December 5, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Athumani (Guest) on December 4, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Grace Mushi (Guest) on October 18, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Thomas Mtaki (Guest) on August 26, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Stephen Mushi (Guest) on August 11, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Rose Mwinuka (Guest) on August 4, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Shabani (Guest) on June 26, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Mary Kidata (Guest) on April 26, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on April 23, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on April 23, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Adhiambo (Guest) on April 17, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Esther Cheruiyot (Guest) on March 22, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on March 17, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on March 11, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on February 24, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mariam Kawawa (Guest) on February 5, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Mwagonda (Guest) on February 2, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Philip Nyaga (Guest) on January 27, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Michael Mboya (Guest) on January 26, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Ahmed (Guest) on January 20, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Violet Mumo (Guest) on January 16, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on January 14, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on January 12, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on January 10, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Leila (Guest) on December 18, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Khadija (Guest) on December 13, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Jane Muthoni (Guest) on December 9, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on November 21, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

John Lissu (Guest) on November 1, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Amina (Guest) on October 25, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mwalimu (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜„ Kichekesho gani!

John Lissu (Guest) on September 28, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on September 20, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 16, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Faith Kariuki (Guest) on July 30, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on July 29, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on July 14, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on July 13, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rashid (Guest) on July 6, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Josephine Nekesa (Guest) on June 15, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on June 4, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on May 28, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on May 19, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Chacha (Guest) on May 9, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Anthony Kariuki (Guest) on April 6, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

Angalia huyu jamaa anavyojiona msomi, huyu kamuotea, hapa amekwama

USIJIONE MJUAJI SAAAA…NA.
Jamaa kamaliza chuo anarudi nyumbani kwa wazee, kufika
nyum... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More