Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Featured Image
John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya
Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na
nyumbani kwake, akaulizwa kwako unapakumbuka?

akajibu ndio nyumba yangu ilee, mara wakatoka
watoto wawili wamevaa uniform akasema watoto
wangu walee wanakwenda shule..
Akatoka mwanamke akasema na mke wangu yulee,
Ghafla akatoka mwanaume john akasema mimi
yuleeeeeeee…. naenda kazini!! JE, NI KWELI
AMEPONA??
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ann Wambui (Guest) on April 18, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Betty Akinyi (Guest) on April 8, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Janet Mbithe (Guest) on April 2, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on March 24, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Kiwanga (Guest) on March 20, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on March 16, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on March 13, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Josephine (Guest) on February 10, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Abdillah (Guest) on January 2, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Michael Onyango (Guest) on December 30, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Hamida (Guest) on December 25, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

David Chacha (Guest) on December 16, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on December 1, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on November 2, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on October 23, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Anna Mchome (Guest) on October 22, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Jackson Makori (Guest) on October 7, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Sharifa (Guest) on October 5, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ruth Wanjiku (Guest) on September 26, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Joseph Kitine (Guest) on August 19, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on August 16, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mwachumu (Guest) on August 4, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Edward Lowassa (Guest) on July 23, 2016

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Ruth Wanjiku (Guest) on June 7, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Zakaria (Guest) on May 31, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Yusra (Guest) on May 28, 2016

πŸ˜† Kali sana!

David Kawawa (Guest) on May 11, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Alice Mwikali (Guest) on April 30, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mwanais (Guest) on April 27, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Miriam Mchome (Guest) on March 31, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on March 19, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on March 11, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Rose Kiwanga (Guest) on February 20, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Susan Wangari (Guest) on February 1, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Joseph Kitine (Guest) on December 18, 2015

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Samson Tibaijuka (Guest) on December 1, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on November 11, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on October 16, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Patrick Mutua (Guest) on October 14, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Rose Mwinuka (Guest) on October 13, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on October 10, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Elizabeth Mtei (Guest) on September 19, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on September 8, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

James Kimani (Guest) on August 30, 2015

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Daniel Obura (Guest) on August 9, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on August 8, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on August 4, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

John Mwangi (Guest) on August 3, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on July 10, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hellen Nduta (Guest) on May 13, 2015

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nancy Akumu (Guest) on April 18, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on April 15, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on April 9, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on April 8, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Mwanaidi (Guest) on April 6, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 5, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Related Posts

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More