Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Featured Image

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti ilivo tamu unajiskia kutafuna na kuimeza hiyo simu

Akikuita tu "my love"unajiskia tu kuvua nguo mwenywe
..
hicho kiupendo ukiwa nae unajskia unaweza piga wanaume 8 kwa pamoja

Yani ile love mtashinda pamoja kutwa nzima afu usiku unakopa salio umpigie muongee

Yani yale mapenz kiasi ukiona love story za romeo na Juliet unaona hakuna wanachofanya coz mapenz yao hayafikii yenu..

ile true love akikuangalia machoni akuguse mashavu afu akwambie,"I love u"
Unajishikilia kwenye ukuta usizimie..

yani ukimfikiria unaweza kulala chini ya kitanda Ku dilute hiyo feeling coz ni too much..

Umewahi kufeel hivyo??

Kama ushawai experience hivyo?? Basi HIYO SIYO "LOVE" NI "BANGI" PLZ ACHA KUTUMIA!
#ishakua_biashara_kichaa

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lucy Kimotho (Guest) on October 9, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Zakaria (Guest) on October 5, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Philip Nyaga (Guest) on September 30, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Nasra (Guest) on September 18, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on August 31, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Kahina (Guest) on August 24, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Michael Onyango (Guest) on July 20, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Daudi (Guest) on July 10, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Mwanaidha (Guest) on July 4, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Samuel Omondi (Guest) on July 4, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on June 25, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lucy Mushi (Guest) on June 9, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on May 4, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on May 4, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on April 15, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on April 1, 2019

🀣πŸ”₯😊

Miriam Mchome (Guest) on March 20, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Sumari (Guest) on February 26, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Jane Muthui (Guest) on January 24, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Michael Mboya (Guest) on January 14, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on January 6, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Nancy Komba (Guest) on December 25, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Husna (Guest) on November 10, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Rabia (Guest) on October 21, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Alice Mrema (Guest) on September 16, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Rose Lowassa (Guest) on September 10, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Malisa (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

George Tenga (Guest) on August 5, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on June 16, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on June 14, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on May 25, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on May 25, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on May 9, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mjaka (Guest) on May 5, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Muslima (Guest) on March 22, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rose Mwinuka (Guest) on March 22, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on March 9, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Andrew Mahiga (Guest) on March 5, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Maneno (Guest) on March 4, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Ann Awino (Guest) on February 18, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Nancy Kawawa (Guest) on February 5, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on February 4, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 12, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on January 5, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Andrew Mahiga (Guest) on December 2, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Carol Nyakio (Guest) on November 29, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Hassan (Guest) on November 24, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nora Kidata (Guest) on October 22, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Robert Okello (Guest) on September 29, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on September 19, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

John Lissu (Guest) on September 14, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Wilson Ombati (Guest) on September 3, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Mahiga (Guest) on August 11, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on July 27, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mgeni (Guest) on July 23, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Emily Chepngeno (Guest) on July 4, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Arifa (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nancy Komba (Guest) on June 25, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on June 20, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Related Posts

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More