Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Featured Image

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. mara saa nne hivi mdada kasema hana nauli.
Mshkaji kajikunja kamtumia Elfu tano maana mwenye shida alikuwa ni yeye……
Baada ya nusu saa yule dada akamtumia meseji.
"Jamani mpenzi, kumbe baba hatoki nilijua atatoka… sorry bae sitaweza kuja kwa leo… sooo sorry!"
Mshkaji jiii! hajajibu kitu…..

Baada ya muda kidogo meseji ikaingia katika simu ya binti, akajua mchizi kajibu. Mh! kutazama ni meseji kutoka Mpesa.

"CA90F0511 IMETHIBITISHWA Tshs 5000 ILIYOTUMWA KIMAKOSA KATIKA ACCOUNT YAKO IMETOLEWA SALIO LAKO NI Tshs 5"

Halafu ndo ikaingia meseji ya mshkaji.
"BASI POA SIKU NYINGINE KAMA VIPI"

#dada wa watu mashavu yakamshuka… hakuamini kilichotokea…. yaani jamaa keshawapigia Voda na pesa fasta imezuiliwa……

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Kiwanga (Guest) on June 18, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Tenga (Guest) on May 31, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Frank Sokoine (Guest) on May 31, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on May 14, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on May 10, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Ruth Mtangi (Guest) on April 15, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on February 23, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on February 5, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on February 3, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Malisa (Guest) on February 2, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 27, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Anna Mahiga (Guest) on December 19, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Peter Otieno (Guest) on November 24, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Robert Okello (Guest) on November 18, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on November 12, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Tabitha Okumu (Guest) on November 9, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on November 7, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Sarah Karani (Guest) on November 4, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Monica Lissu (Guest) on October 29, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on October 7, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on September 2, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on September 1, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

John Lissu (Guest) on August 28, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Agnes Njeri (Guest) on August 7, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on July 30, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Francis Mrope (Guest) on May 17, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Elizabeth Mrema (Guest) on May 12, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Elizabeth Mrope (Guest) on February 21, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Zubeida (Guest) on February 19, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Ann Wambui (Guest) on February 17, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on January 9, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on January 4, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 28, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on December 11, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on November 21, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Yusuf (Guest) on November 18, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 13, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Shukuru (Guest) on September 3, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

David Chacha (Guest) on August 25, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Rose Kiwanga (Guest) on August 25, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Emily Chepngeno (Guest) on August 25, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on August 10, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Emily Chepngeno (Guest) on August 3, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on July 10, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Ruth Mtangi (Guest) on July 9, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Lydia Wanyama (Guest) on July 4, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Abubakari (Guest) on June 29, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Mazrui (Guest) on June 15, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Bakari (Guest) on May 24, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Kenneth Murithi (Guest) on May 15, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on April 13, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Masika (Guest) on April 12, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Salima (Guest) on April 10, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Susan Wangari (Guest) on March 16, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bahati (Guest) on March 9, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Kenneth Murithi (Guest) on February 26, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kidata (Guest) on February 20, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on February 13, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on January 19, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mariam Hassan (Guest) on January 17, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Related Posts

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More